Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,581
- 15,618
Miaka ya 1980-90 mwishoni Mpira nzuri na wakuvutia ulikuwa ukichezwa nchini Italia. Ligi ya Italia Serie A likuwa ndio Bora kabisa duniani. Wachezaji wote wazuri na Bora toka mataifa mengine ya ulaya na America ya kusini pamoja na Africa walipenda kucheza Mpira nchini italia. Ligi yao ilisheheni wachezaji wakali. Diego Maradona, Ruud Gulit, Marco Van Basten, Jean Pierre Papin, George Weah, baadae wakaja kina Zanetti, Edger Davis Zidane Zizou, Zamarano na wakali kibao.
Miaka ya 2000 Mpira ukahamia Spain. Zama za kina Figo, dilima, gaucho, Redondo,Rivaldo, baadae wakaja wakali kina Messi na Cristiano Ronaldo. Zama zimepita. Sasa ni zamu ya Ujerumani. Mpira unaochezwa na vilabu vya kijerumani ni Mpira wa viwango vya juu Sana. Japo wachezaji wanaocheza wengi so wakutoka nje lakini mziki wa Bayern Munich, Monchengladbach, BvB, na Leipzig wote tunaujua. Baadae ya italia, na Spain Sasa ni zamu ya Ujerumani.
Wale wanazi wa epl mapovu ruksa. Japo najua kuwa Ligi yenu ni maarufu. Cristiano Ronaldo ndio mchezaji Bora aliyepata kuichezea Ligi kuu ya uingereza. Hao wengine wote ni everege players.
Miaka ya 2000 Mpira ukahamia Spain. Zama za kina Figo, dilima, gaucho, Redondo,Rivaldo, baadae wakaja wakali kina Messi na Cristiano Ronaldo. Zama zimepita. Sasa ni zamu ya Ujerumani. Mpira unaochezwa na vilabu vya kijerumani ni Mpira wa viwango vya juu Sana. Japo wachezaji wanaocheza wengi so wakutoka nje lakini mziki wa Bayern Munich, Monchengladbach, BvB, na Leipzig wote tunaujua. Baadae ya italia, na Spain Sasa ni zamu ya Ujerumani.
Wale wanazi wa epl mapovu ruksa. Japo najua kuwa Ligi yenu ni maarufu. Cristiano Ronaldo ndio mchezaji Bora aliyepata kuichezea Ligi kuu ya uingereza. Hao wengine wote ni everege players.