georgebest
Member
- Feb 28, 2012
- 23
- 6
Habari zenu wote,
Naombeni msaada wenu mara moja. Nilitaka kununua solar panel ya nguvu ya watts 100 na nyingine yenye nguvu ya watts 1000 (kW 1) ya kuweka kwenye nyumba. Kwahiyo nilitaka kujua inaweza kua gharama gani ile ya watts 100 na gharama gani kuweka ile yenye nguvu ya watts 1000w? Sababu nimewatumia email kampuni zote kubwa kama rex, helvetic, ensol etc na hawajanijibu so kama kuna mtu anajua bei zao naomba msaada wenu.
Nawashukuru tayari sasa kwa msaada wenu.
Wasiliana na Chloride Exide watakusaidia wako Millenium Business Park, Shekilango - Ubungo..
Hii ndio shida kwa sasa siko nyumbani tanzania, ndio mana niliwatumia emails lakini hizi kampuni zetu sizielewi kabisa kwanini wanaweka email zao kama hawajibu.
Asante hivyo hivyo kwa msaada ndugu.
Nitakusaidia kupata email ya hawa jamaa, uwe na amani.
Hebu fanya hivi: 1 watt ni kati ya sh 1800 mpaka 2500 inategemea na duka sasa zidisha mara 100wattsNitakusaidia kupata email ya hawa jamaa, uwe na amani.
Habari zenu wote,
Naombeni msaada wenu mara moja. Nilitaka kununua solar panel ya nguvu ya watts 100 na nyingine yenye nguvu ya watts 1000 (kW 1) ya kuweka kwenye nyumba. Kwahiyo nilitaka kujua inaweza kua gharama gani ile ya watts 100 na gharama gani kuweka ile yenye nguvu ya watts 1000w? Sababu nimewatumia email kampuni zote kubwa kama rex, helvetic, ensol etc na hawajanijibu so kama kuna mtu anajua bei zao naomba msaada wenu.
Nawashukuru tayari sasa kwa msaada wenu.
Mkuu nyumba unayotaka kuweka solar iko mkoa/wilaya or kijiji gani? iko umbali gani kutoka kwenye umeme wa tanesco? unataka kutumia hiyo solar kwa vitu gani?
Ukinijibu haya maswali ndo nitajua nikushauri nini based on my experience!
Mkuu na mimi naomba nidandie. Nina nyumba iko Dar, bado sijaweka umeme nataka kuachana na Tanesco niweke angalau panels jumla 400-500 W. Naomba ushauri kuhusu experience yako. Ninaweza kuagiza hizo panels kutoka nje. Je batteries zinapatikana Tanzania kwa kiasi gani, na ni batteries ngapi kwa kiasi hicho cha panels?
Naona mkuu majany ametoa experience yake hapa. So all in all inategemea na idadi ya vifaa unavyotaka kutumia. Huna hapa ya kuagiza toka nje, vyote vinapatikana hapa hapa TZ
Nyumba iko tabata dar, sitaki tanesco ndio mana nataka kuweka solar. Nimeshapigiwa hesabu na fundi wa solar na kaniambia nahitaji betri 4 za 12v kwa 100Ah na panels ya watts 1000. Kaniambia kua nikiwaambia hivi kampuni za solar wataniambia gharama zote mpaka napata umeme. Sasa nataka kujua gharama zikoje.Mkuu nyumba unayotaka kuweka solar iko mkoa/wilaya or kijiji gani? iko umbali gani kutoka kwenye umeme wa tanesco? unataka kutumia hiyo solar kwa vitu gani?
Ukinijibu haya maswali ndo nitajua nikushauri nini based on my experience!
Nina nyumba kimara,Tanesco walinisumbua saana,nikaamua kuweka panel ya 100W,na battery ya N95,nawasha taa 7,nachaji simu,natumia TV ya solar for 4 hrs a day,its quite effective and cheap!!
Nyumba iko tabata dar, sitaki tanesco ndio mana nataka kuweka solar. Nimeshapigiwa hesabu na fundi wa solar na kaniambia nahitaji betri 4 za 12v kwa 100Ah na panels ya watts 1000. Kaniambia kua nikiwaambia hivi kampuni za solar wataniambia gharama zote mpaka napata umeme. Sasa nataka kujua gharama zikoje.
Ah ok, na ulilipa bei gani?
System yangu kama nilivyoandika,ilikua ndogo,comparatively na unayoitaka,kwa sababu,panel ya 100w,ni TZS180,000,battery(N 95) ni TZS 345,000,Charger controller ni TZS 120,000,Inverter yake ni TZS 140,000.Jumlisha kama tzs 400,000 YA WIRES PAMOJA NA GHARAMA ZA FUNDI.Mchezo ukaisha...Though nilinunua na Tv ndogo ya solar kwa 350,000!!!
Si sawa kwani sijaona pannel ya watts 1,000. Kwa mahesabu ya haraka haraka utatakiwa pannel mbili za 110 watts na bettries 2 za 200Ah. Kwa kujua gharama na kila kitu kama charge regulator n.k waweza piga simu Zara Solar 0784299500 hawa wanauza vitu vyao vya jinioni na kwa bei nafuu.Nyumba iko tabata dar, sitaki tanesco ndio mana nataka kuweka solar. Nimeshapigiwa hesabu na fundi wa solar na kaniambia nahitaji betri 4 za 12v kwa 100Ah na panels ya watts 1000. Kaniambia kua nikiwaambia hivi kampuni za solar wataniambia gharama zote mpaka napata umeme. Sasa nataka kujua gharama zikoje.