Kituko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2009
- 9,555
- 9,357
Ok Asante sana ndugu. Kwahiyo bira tv ni mln 1.2Tsh mtandao mdogo, nikifanya mara 10 ule mtandao mkubwa wa watts 1000 inaweza kua mln. 12TZs. Sio mbaya kwa miaka 25.
Nilipewa quotation ya package iliyokuwa hivi
Kama unataka kutumia say taa 20, tv, microwave, hifi system, na kuchaji simu ina cost 4.5m na ukiongeza min fridge pesa inafika 6.5m, hapo baadhi ya vitu unaweza kutumia 24 hrs, jamaa wakikufungia wanakupa guarantee ya mwaka mmoja ya service bure, na hizo pannel na betri zinakuwa na guarantee ya 24yrs
Kwa mwenye interest ani PM tuwekane sawa kwenye shida