Ok Asante sana ndugu. Kwahiyo bira tv ni mln 1.2Tsh mtandao mdogo, nikifanya mara 10 ule mtandao mkubwa wa watts 1000 inaweza kua mln. 12TZs. Sio mbaya kwa miaka 25.
hiki kiswahili cha jinioni (=genuine) kimeniacha hoi.Ila Bamukunda unatisha!Si sawa kwani sijaona pannel ya watts 1,000. Kwa mahesabu ya haraka haraka utatakiwa pannel mbili za 110 watts na bettries 2 za 200Ah. Kwa kujua gharama na kila kitu kama charge regulator n.k waweza piga simu Zara Solar 0784299500 hawa wanauza vitu vyao vya jinioni na kwa bei nafuu.
Wamenijibu wale wa ensol tz wameniambia nahitaji panel za 135w nne, betri 4 za 200Ah, inverter, kuunganisha na hadi malipo ya mafundi itakua mln 10 na laki 3 Tzs. Hii iko sawa kwa taa 14 (6 inje zinawaka usiku mzima, 8ndani masaa 4/5) tv moja, deconder, pasi. Walipiga hesabu average ya matumizi ilikua watts 2100 kwa siku.
Sio panel ya watts 1000 ni panels ambazo ukionganisha inakupa nguvu ya watts 1000 (1kW/h). Alisema kua nguvu nayohitaji ni kutoka 500w/h mpaka 1000w/h. Kiswahili changu sio vizuri sana lakini najitahidi kuongea kiswahili namna tunaelewana wote kuliko kuongea lugha ambayo tunaelewana 3/4.Si sawa kwani sijaona pannel ya watts 1,000. Kwa mahesabu ya haraka haraka utatakiwa pannel mbili za 110 watts na bettries 2 za 200Ah. Kwa kujua gharama na kila kitu kama charge regulator n.k waweza piga simu Zara Solar 0784299500 hawa wanauza vitu vyao vya jinioni na kwa bei nafuu.
Sharing is good thing, nimejifunza mengi kuhusu uzi huu shukurani za pekee zimwendee mwandishi na wachangiaji ambao ndio wameongeza ladha katika thread hii.
Hii ratio hapo kwa red naikubali, ndo maana nilikuwa na mashaka na yule fundi aliyekushauri mwanzo
Hujaelewa nini unge mark sehemu ambazo hujaelewa.Sijakuelewa???
Hujaelewa nini unge mark sehemu ambazo hujaelewa.
Hii ratio hapo kwa red naikubali, ndo maana nilikuwa na mashaka na yule fundi aliyekushauri mwanzo
Hao nimewatumia email hawajanijibu mpaka sasa.
Kuna Pannel za kutoka China na USA na Ujerumani. Ni vyema ukawa na uhakika usije uziwa mbuzi katika gunia
Habari zenu wote,
Naombeni msaada wenu mara moja. Nilitaka kununua solar panel ya nguvu ya watts 100 na nyingine yenye nguvu ya watts 1000 (kW 1) ya kuweka kwenye nyumba. Kwahiyo nilitaka kujua inaweza kua gharama gani ile ya watts 100 na gharama gani kuweka ile yenye nguvu ya watts 1000w? Sababu nimewatumia email kampuni zote kubwa kama rex, helvetic, ensol etc na hawajanijibu so kama kuna mtu anajua bei zao naomba msaada wenu.
Nawashukuru tayari sasa kwa msaada wenu.
Mkuu Tanzania usijaribu kufanya Inquiry kwa email kwenye kampuni yoyote ile ni ngumu kujibiwaNimeona hata mimi wamejibu 2 katika email nane nilizotuma, kweli inabidi naenda kwenye ofisi zao. Nataka kujua offer at least za kampuni 5/6 namna hii kumchagua yule mwenye offer nzuri.
Habari zenu wote,
Naombeni msaada wenu mara moja. Nilitaka kununua solar panel ya nguvu ya watts 100 na nyingine yenye nguvu ya watts 1000 (kW 1) ya kuweka kwenye nyumba. Kwahiyo nilitaka kujua inaweza kua gharama gani ile ya watts 100 na gharama gani kuweka ile yenye nguvu ya watts 1000w? Sababu nimewatumia email kampuni zote kubwa kama rex, helvetic, ensol etc na hawajanijibu so kama kuna mtu anajua bei zao naomba msaada wenu.
Nawashukuru tayari sasa kwa msaada wenu.