Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Hii ndio ile Sold out tunayotamba nayo, unanunua bia 4 kisha unajipatia ticket ya bure ya Simba Day.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nikaanzie jangwani nipige supu chap, kisha nakuja kula lager zangu 4 hapa😁😁Hii ndio ile Sold out tunayotamba nayo, unanunua bia 4 kisha unajipatia ticket ya bure ya Simba Day.
Offer ipo bar gani hiyoHii ndio ile Sold out tunayotamba nayo, unanunua bia 4 kisha unajipatia ticket ya bure ya Simba Day.
Yeah na ninafikiri game itaangaliwa hapo bar.Wewe ni mjinga tuu, unashindwa kutafakari mambo madogo, hiyo bar kuuza ticket maana yake wamezinunua.
Kwani shida ni nini?Hii ndio ile Sold out tunayotamba nayo, unanunua bia 4 kisha unajipatia ticket ya bure ya Simba Day.
Hii ndio ile Sold out tunayotamba nayo, unanunua bia 4 kisha unajipatia ticket ya bure ya Simba Day.
na kasahau ni kujipatia nafasi ya kushinda si kupata tiketi vyura wako nyuma sana kwenye lugha ya biasharaWewe ni mjinga tuu, unashindwa kutafakari mambo madogo, hiyo bar kuuza ticket maana yake wamezinunua.
Yani nimeshangaa sana great thinker kuleta mada kama hii. Kule wataendelea kubaki wawili wanaojielewaWenye akili ni wawili tu kule.
Ngungus Boy na RageWenye akili ni wawili tu kule.
Kwa hiyo bia umepewa bure kwa kuwa kiwanda na Ngungus Boy? Kweli wewe mbumbumbuWewe ni mjinga tuu, unashindwa kutafakari mambo madogo, hiyo bar kuuza ticket maana yake wamezinunua.
Kwa hiyo ticket zimenunuliwa kwa mkupuo nyingi na watu wachache then wanaanza kuzigawa mitaani?Wewe ni mjinga tuu, unashindwa kutafakari mambo madogo, hiyo bar kuuza ticket maana yake wamezinunua.
Kwahiyo simba wagome kuziuza?Kwa hiyo ticket zimenunuliwa kwa mkupuo nyingi na watu wachache then wanaanza kuzigawa mitaani?
Kwa hiyo unapewa ticket halafu Moira unaangalia kwenye TV? Hivi hizi akili wana5imba mmerithi wapi?Yeah na ninafikiri game itaangaliwa hapo bar.
Sunday Manara "computer" na kikweteWenye akili ni wawili tu kule.
Mashabiki wengi wa Yanga akili zao huwa zinapotea sana wakati mwingineWewe ni mjinga tuu, unashindwa kutafakari mambo madogo, hiyo bar kuuza ticket maana yake wamezinunua.