SOLD OUT: Nunua bia nne ujipatie ticket ya Simba Day

SOLD OUT: Nunua bia nne ujipatie ticket ya Simba Day

Frank Wanjiru

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2012
Posts
22,719
Reaction score
40,739
Hii ndio ile Sold out tunayotamba nayo, unanunua bia 4 kisha unajipatia ticket ya bure ya Simba Day.

FB_IMG_17225290322022514.jpg
 
Hii ndio ile Sold out tunayotamba nayo, unanunua bia 4 kisha unajipatia ticket ya bure ya Simba Day.
Kwani shida ni nini?

Si kampuni imeamua kukuza mauzo yake na kutanua wigo wa wateja wake kwa kuwashawishi kununua kinywaji chao ili wapate nafasi ya kushinda free ticket?

Kampuni nina uhakika haijapewa bure. Bali wamenunua. Sasa unawapangia namna za kugawa?

Mbona uto uwezo wenu wa kufikiri ni mdogo kiasi hicho? Ina maana akili zenu zimefungwa huku nyuma pametanuliwa na mwiko?

Pathetic!.
 
Wewe ni mjinga tuu, unashindwa kutafakari mambo madogo, hiyo bar kuuza ticket maana yake wamezinunua.
na kasahau ni kujipatia nafasi ya kushinda si kupata tiketi vyura wako nyuma sana kwenye lugha ya biashara
 
Wewe ni mjinga tuu, unashindwa kutafakari mambo madogo, hiyo bar kuuza ticket maana yake wamezinunua.
Kwa hiyo bia umepewa bure kwa kuwa kiwanda na Ngungus Boy? Kweli wewe mbumbumbu
 

Attachments

  • FB_IMG_17219444798440203.jpg
    FB_IMG_17219444798440203.jpg
    96.3 KB · Views: 3
Wewe ni mjinga tuu, unashindwa kutafakari mambo madogo, hiyo bar kuuza ticket maana yake wamezinunua.
Kwa hiyo ticket zimenunuliwa kwa mkupuo nyingi na watu wachache then wanaanza kuzigawa mitaani?
 
Yeah na ninafikiri game itaangaliwa hapo bar.
Kwa hiyo unapewa ticket halafu Moira unaangalia kwenye TV? Hivi hizi akili wana5imba mmerithi wapi?
 

Attachments

  • FB_IMG_17219444798440203.jpg
    FB_IMG_17219444798440203.jpg
    96.3 KB · Views: 3
Zawadi ya tiketi ipo kwenye vizibo,,,kama wanavyofanyaga kwenye soda.
 
Back
Top Bottom