Umekurupuka sana aisee, haoo Plisner ni Wadhamini na hio ni aina moja wapo ya kupromote Kinywaji, Ina maana kule Jangwani Supu nayo ipo kwenye jezi ???Kwa hiyo unapewa ticket halafu Moira unaangalia kwenye TV? Hivi hizi akili wana5imba mmerithi wapi?
Kwaiyo mashabiki kama mashabiki bado hawajajaza uwanja isipokua tiketi zimeisha kwa sababu kuna ambao wamezinunua nyingi ili wakafanyie ofa biashara zao, yaani simba day ikiwa ingekua leo uwanja usingejaa kwa sababu bado tiketi nyingi zipo mikononi mwa hao wachache waliozinunua hili wakafanyie promosheni biashara zao au sio? Kwaiyo mpaka sasa mashabiki wa timu zote wameshindwa kujaza uwanja isipokua tiketi za simba zimeisha kwa sababu kuna hao ambao wananunua in bulk wakafanyie promosheni tofauti na upande wa yanga ambapo tiketi zinanunuliwa na shabiki mmoja mmoja au sio?Wewe ni mjinga tuu, unashindwa kutafakari mambo madogo, hiyo bar kuuza ticket maana yake wamezinunua.
Pia hao jamaa wana mkataba na Simba. Mtoa mada kakurupuka na Mbumbumbu wenzie wanaunga mkono tu.Kwani shida ni nini?
Si kampuni imeamua kukuza mauzo yake na kutanua wigo wa wateja wake kwa kuwashawishi kununua kinywaji chao ili wapate nafasi ya kushinda free ticket?
Kampuni nina uhakika haijapewa bure. Bali wamenunua. Sasa unawapangia namna za kugawa?
Mbona uto uwezo wenu wa kufikiri ni mdogo kiasi hicho? Ina maana akili zenu zimefungwa huku nyuma pametanuliwa na mwiko?
Pathetic!.
Mashabiki wa yanga toka amerudi yule Albino nao akili zao zimekuwa oya oya tuPia hao jamaa wana mkataba na Simba. Mtoa mada kakurupuka na Mbumbumbu wenzie wanaunga mkono tu.
Mbona unajieleza sanaKwani shida ni nini?
Si kampuni imeamua kukuza mauzo yake na kutanua wigo wa wateja wake kwa kuwashawishi kununua kinywaji chao ili wapate nafasi ya kushinda free ticket?
Kampuni nina uhakika haijapewa bure. Bali wamenunua. Sasa unawapangia namna za kugawa?
Mbona uto uwezo wenu wa kufikiri ni mdogo kiasi hicho? Ina maana akili zenu zimefungwa huku nyuma pametanuliwa na mwiko?
Pathetic!.