Sold out ya mchongo imebumbuluka Simba Day

'Mitatu' ni minini? Yaani kuishi kwangu kote huku Uskuduswazi umenitoa kapa. Halafu tulishakubaliana kuwa misemo mipya ya kiswahili isiwe inaanzia huko kwenu ushuani. Hamkawii kuja na misemo ya pizza nyie.
 
'Mitatu' ni minini? Yaani kuishi kwangu kote huku Uskuduswazi umenitoa kapa. Halafu tulishakubaliana kuwa misemo mipya ya kiswahili isiwe inaanzia huko kwenu ushuani. Hamkawii kuja na misemo ya pizza nyie.
Elfu 3/ buku tatu.
 
Polisi na zimamoto wanakaa kwenye siti???
 
Huwa siwashangai mkiandikaga ujinga kwa Sababu inajulikana huko wenye akili ni wawili tu. Huo ni utafiti wa Manara
 
Wengi walioachwa nje ni ambao wamekuja saa 10 jioni hao wote waliambiwa waondoke uwanja umejaa
 
Simple kama kibegi tu kiliwatesa, kitu ambacho nilikuwa nakidharau sana, strange enough kumbe kimewachoma moyo sana baadhi ya watu.

Sold out nayo imekuwa shida.

Msubiri kipigo Sasa, Mwaka wa shidah huu.

NB. Tunaweza laumu walinzi kupitisha watu zaidi, Kwa mtazamo wangu hili ni tatizo la watanzania wengi, kupenda favor Hata kama hastahili, unakuta wawenzako wamewahi unataka ushawishi Kwa Hela ya kubrashia uwe wa kwanza. Mtu huna tiketi unaenda uwanjani kufanya nini na umesikia sold out, simple tu unataka uchukue nafasi ya mtu mwingine. Tiketi yako ya elfu tatu unataka ukae VIP A, simple tu unataka upole nafasi ya mtu, japo hutumia mtutu unatumia ushawishi wa Fedha.
 
Mbona yanga ilikuwa bure kabisa AKA fungulia mbwa na Bado hamkujaza hata nusu ya uwanja?
Lengo kuu la Yanga lilikuwa kupata fedha za kuhudumia timu sio kujaza watu uwanjani. Mo lengo lake lilikuwa kujaza watu uwanjani sio fedha. Binafsi nimemuelewa kwakuwa sio vema kumuita Rais wa nchi kwenye uwanja mtupu.
 
Na kwenye mechi zingine,hasa za kimataifa,tiketi huwa unazinunua wewe?Pambaneni na ulofa wenu!😂😂🐸🐸🐸🐸🐸
Mechi zenu za kimataifa kiingilio ni 3000 mzunguuko na Kuna wakati ilikuwa bure. Ndio maana mo anadai kupata hasara kila wakati. Kimapato Yanga imeingiza hela nyingi siku Yao ya mwananchi kuliko Simba kwenye Simba Day
 
Dili la sold out limebumbuluka.
 
Yani ilikua sold out mpka ikapitiliza
Simba raha bwana
🐸 🐸 🐸 🐸
 
Shida yote hiyo ya nini? Ungeenda zako Kisuma au Liquid ukanywe bia.
 
Hakuna mwenye akili atakae tilia mashaka hili jambo la simba kujaza uwanja tena kwa tiketi halali...ni wenye akili mbovu tuu ndo watakaoona tofauti...Simba iliiuza tiketi mpk ikapitilizaaa...
 
Hakuna mwenye akili atakae tilia mashaka hili jambo la simba kujaza uwanja tena kwa tiketi halali...ni wenye akili mbovu tuu ndo watakaoona tofauti...Simba iliiuza tiketi mpk ikapitilizaaa...
Fanya uchunguzi waliobaki nje na ticket zao wengi wao ni watu wasiokuwa na matawi na waliotoka nje ya DSM. Tiketi za bure ziligawiwa kimya kimya, mo aliinunua shughuli nzima
 
'Mitatu' ni minini? Yaani kuishi kwangu kote huku Uskuduswazi umenitoa kapa. Halafu tulishakubaliana kuwa misemo mipya ya kiswahili isiwe inaanzia huko kwenu ushuani. Hamkawii kuja na misemo ya pizza nyie.
Buku 3
 
Waliojinunulia tiketi kwa hela Yao walibaki nje ya uwanja na wenye tiketi za boss walikuwa ndani ya uwanja. Kuna swali tena hapo?
Mtoto wa kiume unaweza kujikuta unaenda hospital kujifungua kumbe Ni maumivu ya mtani kuujaza uwanja.

Dunia nzima inajua kulikua na Simba day 2023.

Nb:Huko kigamboni Avic Town waliahirisha mechi ya kirafiki na mazoezi ili wangalie Simba day.

Mashaka yangu Ni jinsia yako. Wanaume hatuko hivi ulivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…