Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uza kwanza tiketi uzimalize ndipo uje na hizo ngonjera.Niwakumbushe wana-Simba, mwaka jana ktk tamasha la Simba day kulitangazwa Sold out lkn uwanja ukawa na mapengo mengi. Sijui nn kipo nyuma ya hizi soldouts. Nashauri Hamasa iendelee
InawezekanaKuna walanguzi wa Tiketi
Tickets zinauzwa ili watu waende uwanjaniUza kwanza tiketi uzimalize ndipo uje na hizo ngonjera.
yeah Ile ni biashara hata uwanja usipo jaa hawana hasaraKuna walanguzi wa Tiketi
Ndio ikoke ikoje hiiKuna walanguzi wa Tiketi
Mtu ananunua Tiketi let say kwa 10k then anaanza kuziuza 20k, si unaona Sold out? Simba day ukienda pale miti mirefu hukosi TiketiNdio ikoke ikoje hii
Duuuuh weweAsante mawingu FM
Nini?Duuuuh wewe
Kama wanaochukua jezi wanauza 50Mtu ananunua Tiketi let say kwa 10k then anaanza kuziuza 20k, si unaona Sold out? Simba day ukienda pale miti mirefu hukosi Tiketi