INAUZWA Solution ya bei nafuu kwa walioibiwa masega kwenye magari.

INAUZWA Solution ya bei nafuu kwa walioibiwa masega kwenye magari.

JituMirabaMinne

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2020
Posts
3,381
Reaction score
9,744
d933ec4ed41d06a74df552602f7d7f26.jpg


Mara nyingi gari ikiibiwa masega,

1. Itawasha check engine

2. Inaweza kukosa nguvu.

3. Inaweza kumisfire(misi).

4. Itatumia mafuta vibaya sana.

Hizo ni baadhi tu ya dalili ambazo unaweza kukutana nazo iwapo gari itaibiwa masega. Au masega ya gari yako yatakuwa yamechoka.

Shida kubwa hapo ni kwenye ulaji wa mafuta na hii ndio inawakaanga wengi.

Niliwahi kuandika uzi unaohusu masega unaweza kuupitia haraka haraka.

Thread 'Athari za kutoa masega kwenye gari (catalytic converter)' Athari za kutoa masega kwenye gari (catalytic converter)

Hapa ninacho kifaa ambacho kama una tatizo lolote na masega yako, whether

1. Yameibiwa
2. Yamechoka
3. Unapata DTC's p0420 au p0430 ukifanya diagnosis.

Kifaa hicho kitaifanya gari yako irudi kama zamani. Yaani kama vile imefungwa masega mapya.

Ulaji wa mafuta itarudi kawaida na utalifurahia gari lako.

Kitu cha muhimu, gari yako inatakiwa iwe na Oxygen sensor baada ya masega.


Kwa gharama ndogo tu ya Tsh. 150,000/=

Nipigie 0621 221 606

Nipo Dar es salaam.
 
Sema hapa ni kifaa gani au ndo mnachukua vile viwaya vya chuma vilivyopo katikati ya tairi za gari tukija unatujazia hizo waya sio kwenye sehemu iliyotolewa masega??

Nimeandika kwenye maelezo yangu kwamba kama gari ilikuwa inakula mafuta sana kwa sababu ya hiyo Cat converter, Nikikufungia hicho kifaa itaacha.

Kama hivyo viwaya wanavyoweka vingekuwa na msaada kwenye ulaji wa mafuta, kila mtu angekuwa anaenda kuviweka.

Hayo maandishi niliyoandika Gari iwe na Oxygen sensor baada ya masega yana maana kubwa sana.
 
Hiyo tool yako inaondoa na kelele?
Haiondoi....

Hiyo tool itasolve matatizo yote yanayohusiana na ulaji wa mafuta, misfire, kukosa nguvu na taa ya check engine.

Kelele zitabaki kama kawaida.
 
Niliskia hizo masega wanaiba ili wakatumie kuchanganya kwenye madawa ya kulevya, hatuwezi kutengeneza masega zenye sumu ili wakiiba wafe?
Bahati mbaya hayo masega hatutengenezi sisi.

Na ishu ya wizi ni world wide.
 
View attachment 2399550

Mara nyingi gari ikiibiwa masega,

1. Itawasha check engine

2. Inaweza kukosa nguvu.

3. Inaweza kumisfire(misi).

4. Itatumia mafuta vibaya sana.

Hizo ni baadhi tu ya dalili ambazo unaweza kukutana nazo iwapo gari itaibiwa masega. Au masega ya gari yako yatakuwa yamechoka.

Shida kubwa hapo ni kwenye ulaji wa mafuta na hii ndio inawakaanga wengi.

Niliwahi kuandika uzi unaohusu masega unaweza kuupitia haraka haraka.

Thread 'Athari za kutoa masega kwenye gari (catalytic converter)' Athari za kutoa masega kwenye gari (catalytic converter)

Hapa ninacho kifaa ambacho kama una tatizo lolote na masega yako, whether

1. Yameibiwa
2. Yamechoka
3. Unapata DTC's p0420 au p0430 ukifanya diagnosis.

Kifaa hicho kitaifanya gari yako irudi kama zamani. Yaani kama vile imefungwa masega mapya.

Ulaji wa mafuta itarudi kawaida na utalifurahia gari lako.

Kitu cha muhimu, gari yako inatakiwa iwe na Oxygen sensor baada ya masega.


Kwa gharama ndogo tu ya Tsh. 150,000/=

Nipigie 0621 221 606

Nipo Dar es salaam.
Vp kwa tulioko mikoani tunapata VP huduma hiyo!!? 0621662371
 
Back
Top Bottom