Solution ya kumuua Mondi kama artist!!!!

Aliyeanzisha Wasafi ni Kusaga. Huyo baba Tiffah ana hisa tu.
 
Mwambie rafiki yako anunue au ajenge nyumba yake ya kukaa sio kupanga,maana madale yuko bi sandra
 
sawa we shabiki kitumbua tena kile kilicho tuna tuna na mafuta meeeengi kama kiPussya
nyie mashabiki maandazi mpaka mje kujua hizi ni biashara, tz itakuwa nchi ya uchumi wa juu wa viwanda.
 
Mbona unamsemea maadui zake as if umetumwa kumsea? Sijawahi msikia Dai akisema ana Maadui ila nyinyi wa lamba nyao na waneba vitaulo vyake vya jasho mnachonga sanaaaa.
 
Hangaika na maisha yako. Hayo unayotuambia hayatusaidii lolote. We endelea kulamba miguu ya mwanaume mwenzio bwege wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…