reyzzap
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 6,813
- 21,807
Sina muda, fanya hivi...
Kwanza ingia Google tengeneza Email mpya(sipaswi kukukumbusha kukumbuka password)
Rudi Google kwenye www.nbs.go.tz
Anza kujaza fomu upya,
Katika zile taarifa zako za mwanzo badilisha vitu vifuatavyo..
1.Weka email mpya,
2. Badilisha Namba ya FM4
3. Badilisha Namba ya Nida
Kubadilisha ninakozungumzia ni kama unajikosesha hivi, mfano badala S0256-0067-2011 unaweka S0256-0056-2012, hivyo hivyo Nida unaweza ukabadili ter na mwezi
Halafu tuma maombi
NOTE : Hakikisha upo sehemu yenye mtando vizuri (H+) la sivyo Taarifa itaenda ila ikishindwa kuji refresh email haitarudi.
Watakuletea MSG na email yenye password
Badala ya hapo ukishapakua fomu
Rudi tena www.nbs.go.tz, fika mpaka hapa halafu bonyeza hapo namba 3
Copy and paste Email na Password waliyokutumia KAMA ILIVYO halafu ingia
Itafunguka, badala ya hapo kuna sehemu juu kabisa utaona amekuandikia "Huisha taarifa za Mwombaji".. bonyeza,
Itafunguka, sasa anza ku edit zile sehemu ulizojikoseha kwa kuweka taarifa SAHIHI kabisa.
Badala ya hapo nenda chini amekuandikia Tuma maombi, bonyeza
Kama kawaida watakuletea kupakua fomu, fanya hivyo, utakua umemaliza
Siandiki nadharia hapa, hiki nimewafanyia watu na imekubali.
Kwanza ingia Google tengeneza Email mpya(sipaswi kukukumbusha kukumbuka password)
Rudi Google kwenye www.nbs.go.tz
Anza kujaza fomu upya,
Katika zile taarifa zako za mwanzo badilisha vitu vifuatavyo..
1.Weka email mpya,
2. Badilisha Namba ya FM4
3. Badilisha Namba ya Nida
Kubadilisha ninakozungumzia ni kama unajikosesha hivi, mfano badala S0256-0067-2011 unaweka S0256-0056-2012, hivyo hivyo Nida unaweza ukabadili ter na mwezi
Halafu tuma maombi
NOTE : Hakikisha upo sehemu yenye mtando vizuri (H+) la sivyo Taarifa itaenda ila ikishindwa kuji refresh email haitarudi.
Watakuletea MSG na email yenye password
Badala ya hapo ukishapakua fomu
Rudi tena www.nbs.go.tz, fika mpaka hapa halafu bonyeza hapo namba 3
Copy and paste Email na Password waliyokutumia KAMA ILIVYO halafu ingia
Itafunguka, badala ya hapo kuna sehemu juu kabisa utaona amekuandikia "Huisha taarifa za Mwombaji".. bonyeza,
Itafunguka, sasa anza ku edit zile sehemu ulizojikoseha kwa kuweka taarifa SAHIHI kabisa.
Badala ya hapo nenda chini amekuandikia Tuma maombi, bonyeza
Kama kawaida watakuletea kupakua fomu, fanya hivyo, utakua umemaliza
Siandiki nadharia hapa, hiki nimewafanyia watu na imekubali.