Soma hapa kabla hujaagiza gari, huenda ikakufaa

Soma hapa kabla hujaagiza gari, huenda ikakufaa

Hii kitu naona ndio mtindo wa kisasa wanaofanya dealers wa magari!
Unaagiza gari anakufanyia clearance kwa 100% au una deposit 50% na wao wanamalizia 50% ya clearance charges.

Gari ikitoka wanakukabidhi kwa mkataba nadani unaacha kadi then unakuwa unafanya marejesho ndani ya miezi 3 mpaka 6 ikiwa ni kulipa ile clearance fees iliosalia. Anaigawa kwa mafungu hata matatu ili iwe rahisi wewe kupeleka marejesho na ndani ya hayo marejesho anakuwa ame target faida yake.

Ni biashara nzuri kwa mtu mwenye mtaji mkubwa ukizingatia wengi wanalenga gari za million 5-12 hivyo kodi inachezea 1-6 million.

Akipiga genji ya million 1.5 -2 kila gari ana faida nzuri sana.
Kuagiza Gari kwa staili hii mhusika ataweza kumudu gharama za mafuta na service? Raha yangari use umefanya savings za kutosha
 
Hii hapa ni 2011 Nissan Dualis/127,431km / MR20 Engine / 1,990 cc

Gharama zake hadi kufika Bandari ya Dar es salaam ni TZS : 10,703,000/=
TAX : 7,293,000/=

Unaweza kuangalia picha zaidi na taarifa zake hapa kwenye hii link


Umeipemda.? Karibu tuwasiliane ...

Ama Kuna gari ingine ambayo ni chaguo lako unafikiria kuiagiza hivi karibuni, lakini unahisi budget yako haitokuruhusu kuweza kulipia ushuru.?!

If yes, tunaweza kuwasiliana kuzungmzia hili suala, ninaweza kukuonganisha na mtu anayesaidia kulipia ushuru na gharama zote za bandari na kulitoa gari lako kisha unamrejeshea kwa awamu mbili.

Ila panakua na makubaliano ya kisheria, na kuandikishiana.

Enjoy!

NOTE : MALIPO YA CIF (MALIPO YA MANUNUZI YA GARI KULE JAPAN) UNAENDA MWENYEWE KULIPIA, BANK KWENYE ACCOUNT YA KAMPUNI YA MUUZAJI (KAMA NI BE FORWARD, BASI UNALIPIA KWENYE ACCOUNT RASMI YA BE FORWARD, KAMA NI ENHANCE, BASI UNALIPIA KWENYE ACCOUNT RASMI YA ENHANCE , KAMA NI SBT, BASI UNALIPIA KWENYE ACCOUNT RASMI YA SBT)
 

Attachments

  • BH607142_85688b.jpg
    BH607142_85688b.jpg
    19.3 KB · Views: 1
  • BH607142_8cc02f.jpg
    BH607142_8cc02f.jpg
    19.3 KB · Views: 1
  • BH607142_b9274b.jpg
    BH607142_b9274b.jpg
    19.2 KB · Views: 1
  • BH607142_ac8efe.jpg
    BH607142_ac8efe.jpg
    19.2 KB · Views: 1
Hii hapa ni 2007 Nissan Dualis/120,463km / MR20 Engine / 1,990 cc

Gharama zake hadi kufika Bandari ya Dar es salaam ni TZS : 9,047,000/=
TAX : 5,888,000/=

Unaweza kuangalia picha zaidi na taarifa zake hapa kwenye hii link


Umeipemda.? Karibu tuwasiliane ...

Ama Kuna gari ingine ambayo ni chaguo lako unafikiria kuiagiza hivi karibuni, lakini unahisi budget yako haitokuruhusu kuweza kulipia ushuru.?!

If yes, tunaweza kuwasiliana kuzungmzia hili suala, ninaweza kukuonganisha na mtu anayesaidia kulipia ushuru na gharama zote za bandari na kulitoa gari lako kisha unamrejeshea kwa awamu mbili.

Ila panakua na makubaliano ya kisheria, na kuandikishiana.

Enjoy!

NOTE : MALIPO YA CIF (MALIPO YA MANUNUZI YA GARI KULE JAPAN) UNAENDA MWENYEWE KULIPIA, BANK KWENYE ACCOUNT YA KAMPUNI YA MUUZAJI (KAMA NI BE FORWARD, BASI UNALIPIA KWENYE ACCOUNT RASMI YA BE FORWARD, KAMA NI ENHANCE, BASI UNALIPIA KWENYE ACCOUNT RASMI YA ENHANCE , KAMA NI SBT, BASI UNALIPIA KWENYE ACCOUNT RASMI YA SBT)
 

Attachments

  • BH578668_8f65d3.JPG
    BH578668_8f65d3.JPG
    30.1 KB · Views: 1
  • BH578668_d4b5ff.JPG
    BH578668_d4b5ff.JPG
    32.4 KB · Views: 1
  • BH578668_74b8ee.JPG
    BH578668_74b8ee.JPG
    29.6 KB · Views: 1
  • BH578668_84d2ff.JPG
    BH578668_84d2ff.JPG
    39.7 KB · Views: 1
  • BH578668_3de0de.JPG
    BH578668_3de0de.JPG
    35.8 KB · Views: 1
  • BH578668_d4bd3a.JPG
    BH578668_d4bd3a.JPG
    28.6 KB · Views: 1
  • BH578668_3de0de.JPG
    BH578668_3de0de.JPG
    35.8 KB · Views: 1
Hii hapa ni 2003 Toyota Harrier/100,400km / 3AZ Engine / 2,390 cc

Gharama zake hadi kufika Bandari ya Dar es salaam ni TZS : 9,047,000/= + c
TAX : 11,145,000/=

Unaweza kuangalia picha zaidi na taarifa zake hapa kwenye hii link


Umeipemda.? Karibu tuwasiliane ...

Ama Kuna gari ingine ambayo ni chaguo lako unafikiria kuiagiza hivi karibuni, lakini unahisi budget yako haitokuruhusu kuweza kulipia ushuru.?!

If yes, tunaweza kuwasiliana kuzungmzia hili suala, ninaweza kukuonganisha na mtu anayesaidia kulipia ushuru na gharama zote za bandari na kulitoa gari lako kisha unamrejeshea kwa awamu mbili.

Ila panakua na makubaliano ya kisheria, na kuandikishiana.

Enjoy!

NOTE : MALIPO YA CIF (MALIPO YA MANUNUZI YA GARI KULE JAPAN) UNAENDA MWENYEWE KULIPIA, BANK KWENYE ACCOUNT YA KAMPUNI YA MUUZAJI (KAMA NI BE FORWARD, BASI UNALIPIA KWENYE ACCOUNT RASMI YA BE FORWARD, KAMA NI ENHANCE, BASI UNALIPIA KWENYE ACCOUNT RASMI YA ENHANCE , KAMA NI SBT, BASI UNALIPIA KWENYE ACCOUNT RASMI YA SBT)
 

Attachments

  • BG867738_a96365.jpg
    BG867738_a96365.jpg
    35.4 KB · Views: 1
  • BG867738_9d05ea.jpg
    BG867738_9d05ea.jpg
    30.3 KB · Views: 1
  • BG867738_b62d4b.jpg
    BG867738_b62d4b.jpg
    33.3 KB · Views: 1
  • BG867738_f62f65.jpg
    BG867738_f62f65.jpg
    33.9 KB · Views: 1
  • BG867738_b6c5f2.jpg
    BG867738_b6c5f2.jpg
    36.3 KB · Views: 1
  • BG867738_f54641.jpg
    BG867738_f54641.jpg
    31.8 KB · Views: 1
  • BG867738_e425ec.jpg
    BG867738_e425ec.jpg
    35.2 KB · Views: 1
  • BG867738_0b7dec.jpg
    BG867738_0b7dec.jpg
    35.6 KB · Views: 1
Hii hapa ni 2007 Honda Fit/28,150km / L13A Engine / 1,290 cc

Gharama zake hadi kufika Bandari ya Dar es salaam ni TZS : 5,012,000/= + c
TAX : 5,470,000/=

Unaweza kuangalia picha zaidi na taarifa zake hapa kwenye hii link


Umeipemda.? Karibu tuwasiliane ...

Ama Kuna gari ingine ambayo ni chaguo lako unafikiria kuiagiza hivi karibuni, lakini unahisi budget yako haitokuruhusu kuweza kulipia ushuru.?!

If yes, tunaweza kuwasiliana kuzungmzia hili suala, ninaweza kukuonganisha na mtu anayesaidia kulipia ushuru na gharama zote za bandari na kulitoa gari lako kisha unamrejeshea kwa awamu mbili.

Ila panakua na makubaliano ya kisheria, na kuandikishiana.

Enjoy!

NOTE : MALIPO YA CIF (MALIPO YA MANUNUZI YA GARI KULE JAPAN) UNAENDA MWENYEWE KULIPIA, BANK KWENYE ACCOUNT YA KAMPUNI YA MUUZAJI (KAMA NI BE FORWARD, BASI UNALIPIA KWENYE ACCOUNT RASMI YA BE FORWARD, KAMA NI ENHANCE, BASI UNALIPIA KWENYE ACCOUNT RASMI YA ENHANCE , KAMA NI SBT, BASI UNALIPIA KWENYE ACCOUNT RASMI YA SBT)
 

Attachments

  • BH598480_141563.JPG
    BH598480_141563.JPG
    38.7 KB · Views: 2
  • BH598480_c510ac.JPG
    BH598480_c510ac.JPG
    35.7 KB · Views: 2
  • BH598480_b8901d.JPG
    BH598480_b8901d.JPG
    38.3 KB · Views: 2
  • BH598480_a71d2f.JPG
    BH598480_a71d2f.JPG
    42.7 KB · Views: 2
  • BH598480_5f7aed.JPG
    BH598480_5f7aed.JPG
    37.7 KB · Views: 2
  • BH598480_47b67b.JPG
    BH598480_47b67b.JPG
    40 KB · Views: 2
  • BH598480_267633.JPG
    BH598480_267633.JPG
    33.7 KB · Views: 2
Kuna kampuni ipo hapo Posta mpya Dar es salaam, wao unaagiza gari kama ni ya mil 10, unatoa 5 mil. Ikija wanakulipia iliopungu yako, kisha umawalipa kwa awamu mwaka mzima mpk mwaka na nusu

Dumelang
Hiyo Kampuni inaitwaje?
 
Nikikumbuka Wananchi tulivyolivyolizwa kwenye Uchaguzi Mkuu Oktoba 28 inaniwia vigumu kuamini haraka! Bado maelezo ya kampuni hiyo hayatoshelezi.
 
Back
Top Bottom