Daudi mwinge
Member
- Feb 5, 2011
- 14
- 0
Eti majini!mimi ndiyo kiboko yao njoo naye nikupe dawa kama majini kweli tutaona la kama nigeria style utamuona mbele yangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mzee yapo, na yana wivu ajabu, yanaweza kukuua na wewe kama unayalia nyapu yao...kama yakiamua yanakuacha lakini yanasubiria kuharibu mimba au kuua mtoto wako akizaliwa...nakupa pole..nakushauri umwambie uyo mdada aende kwa walokole akaombewe, usimwambie aende kwa waganga wa kienyeji kwasababu anapoenda huko anazidi kuongeza mengine, itafika kipindi yataanza kumla na tigo sasa.....sijui dini yake lakini asiende kwa waganga w akeienyeji tena..mwambie aende kwa walokole...
Haya madubwana yapo.Join Date : 17th February 2011
Location : Mars
Posts : 251
Thanks 151 Thanked 83 Times in 56 Posts
Rep Power : 21
sweetdada uko fasta ile mbaya kupost juzi tu umejoin leo ushakuwa senior expert... ok majini siyaamini kwani hamna YESU NDANI YENU?Kama yapo huyu bwana ampeleke kwa pastor aombewe au kwa padri apakwe mafuta matakatifu,,aache hizo imani za kuogopa yawezekana huyu DADA HAMTAKI KAONA AMKATAE KWA GIA ya kusingizia jini.