STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,076
- 17,247
Kwenye Mapenzi lazima mmoja akubali kuwa FALA
na MJINGA ili Mapenzi yaweze kwenda..Hamuwezi
wote eti kuwa SMART...Haiwezekani.. Smart Lovers
dont get far..Huu ndo ukweli. Na ndoa nyingi
zinavunjika coz mifahari miwili imeamua kuvunja
mwiko na kudhania Wahenga walikuwa Mafala kusema Hawawezi kukaa Zizi Moja.. Mke anagundua
Mme kacheat na yeye anampigia jamaa aje afumue
marinda...Eti ndo TIT FOR TAT...Akimwaga Mboga
unamwaga Ugali Kabla hujamwambia MARRY ME
jiulize kwanza..Wewe ni Mjinga au Yeye??Kama
hamna mjinga kati yenu USIJISUMBUE Unajijua wewe kicheche,unaenda na demu wako Gesti ya Mbaliii
ukijua ndo CHIMBO...Ukifika pale Mhudumu anatoa
Funguo namba 203 mara unamsikia Demu
anamwambia,"DADA HAMNA ROOM NYINGINE HII
ROOM KITANDA CHAKE HUWA KINAPIGA SANA
KELELE" Utatoa macho kama umefumaniwa na mke wa Mwanajeshi
na MJINGA ili Mapenzi yaweze kwenda..Hamuwezi
wote eti kuwa SMART...Haiwezekani.. Smart Lovers
dont get far..Huu ndo ukweli. Na ndoa nyingi
zinavunjika coz mifahari miwili imeamua kuvunja
mwiko na kudhania Wahenga walikuwa Mafala kusema Hawawezi kukaa Zizi Moja.. Mke anagundua
Mme kacheat na yeye anampigia jamaa aje afumue
marinda...Eti ndo TIT FOR TAT...Akimwaga Mboga
unamwaga Ugali Kabla hujamwambia MARRY ME
jiulize kwanza..Wewe ni Mjinga au Yeye??Kama
hamna mjinga kati yenu USIJISUMBUE Unajijua wewe kicheche,unaenda na demu wako Gesti ya Mbaliii
ukijua ndo CHIMBO...Ukifika pale Mhudumu anatoa
Funguo namba 203 mara unamsikia Demu
anamwambia,"DADA HAMNA ROOM NYINGINE HII
ROOM KITANDA CHAKE HUWA KINAPIGA SANA
KELELE" Utatoa macho kama umefumaniwa na mke wa Mwanajeshi