Soma hii itakusaidia katika maisha yako ya sasa na baadae.

Soma hii itakusaidia katika maisha yako ya sasa na baadae.

Mzi2 Mpole

Member
Joined
Jul 1, 2012
Posts
15
Reaction score
2
Mimi ni muandishi wa vitabu vya Riwaya,Tamthilia na Ushair ninahitaj msaada wa udhamin wa kuchapa kitabu ambacho nimekiandaaa kitakachoitwa ''NYARAKA NYEUSI''
kama unaweza kutoa msaada huu nijulishe hapaha.
 
Wasiliana na Nyambare Chacha Nyangwine!
 
unachotakiwa kufanya nitumie soft copy ya hicho kitabu kwenye PM nione ntakavyokusaidia
 
Mbona hakuna uhusiano wa kichwa cha mada na mada husika..
Wewe kweli ni mwandishi 'mzuri' wa vitabu..!?
 
Mimi ni muandishi wa vitabu vya Riwaya,Tamthilia na Ushair ninahitaj msaada wa udhamin wa kuchapa kitabu ambacho nimekiandaaa kitakachoitwa ''NYARAKA NYEUSI''
kama unaweza kutoa msaada huu nijulishe hapaha.

Hii unakusaidia wewe au sisi?
 
wasiliana na Mwanakijiji achana na Nyangwine sababu nahisi kitabu kinaigusa CCM kutokana na title
 
Dah! Changamoto ndio mbolea ya tabasamu langu,siwez kuzikwepa.kwa wanaoweza kunishauri wanishauri zaidi na wenye majungu endeleeni kunidiskalej maana bila nyinyi changamoto kwangu zitakosa virutubisho.
 
Back
Top Bottom