Soma hiki Kisa, ungekuwa wewe ungefanyaje?

Soma hiki Kisa, ungekuwa wewe ungefanyaje?

Unique Flower

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2019
Posts
12,838
Reaction score
25,282
Ni hivi palikuwa na mwanaume mmoja alikuwa anaishi na mke na watoto watatu wamekuza mpaka mmoja kaoa .
Huyo baba alipenda kuvaa nguo nzuri sana na alikuwa anajulikana Kwa kujipenda . Mno Sasa Kuna siku Moja aliitisha kikao Cha ukoo akasema anataka kuoa mke mpya mwenye kuendana naye Kwa mavazi,na Ile kujishauashau .

Nailikuwa hivi haendi na mkewe popote Kwa sababu atamwaibisha. So akakubaliwa na mkewe akaoa mke mwingine mrembo sana. Yule mke wa kwanza alikuwa kijakazi wandani kila kitu aliwafanyia.

Ila naye akapata mtu wa kumuoa ndio hapo ex-mume akaanza vurugumai Sasa watu wanadai ya Nini na huku Alisha muacha ila mwisho wa kila kitu . Aliolewa na huyo tajiri na watoto wake wako Kwa huyo tajiri .

Je ingelikuwa wewe ukiamua kutupa lulu kwenye mti ikachukuliwa utafanyaje na Ili hali ulimdharau??
 
Ni hivi palikuwa na mwanaume mmoja alikuwa anaishi na mke na watoto watatu wamekuza mpaka mmoja kaoa .
Huyo baba alipenda kuvaa nguo nzuri sana na alikuwa anajulikana Kwa kujipenda . Mno Sasa Kuna siku Moja aliitisha kikao Cha ukoo akasema anataka kuoa mke mpya mwenye kuendana naye Kwa mavazi,na Ile kujishauashau .

Nailikuwa hivi haendi na mkewe popote Kwa sababu atamwaibisha. So akakubaliwa na mkewe akaoa mke mwingine mrembo sana. Yule mke wa kwanza alikuwa kijakazi wandani kila kitu aliwafanyia.

Ila naye akapata mtu wa kumuoa ndio hapo ex-mume akaanza vurugumai Sasa watu wanadai ya Nini na huku Alisha muacha ila mwisho wa kila kitu . Aliolewa na huyo tajiri na watoto wake wako Kwa huyo tajiri .

Je ingelikuwa wewe ukiamua kutupa lulu kwenye mti ikachukuliwa utafanyaje na Ili hali ulimdharau??
Usimdharau mtu yeyote ambaye bado anaishi.
 
Je ingelikuwa wewe ukiamua kutupa lulu kwenye mti ikachukuliwa utafanyaje na Ili hali ulimdharau??
Hakuna anayeweza kutupa lulu. Binafsi siwezi kutupa lulu, na ukiona lulu imetupwa, basi haikuwa lulu.

Kwenye story yako, kama mwanaume ni muislam, basi Sheria zao zinaruhusu mke wa pili, na kwavile wa kwanza hakupewa talaka, basi Bado ni mkewe
 
Ni hivi palikuwa na mwanaume mmoja alikuwa anaishi na mke na watoto watatu wamekuza mpaka mmoja kaoa .
Huyo baba alipenda kuvaa nguo nzuri sana na alikuwa anajulikana Kwa kujipenda . Mno Sasa Kuna siku Moja aliitisha kikao Cha ukoo akasema anataka kuoa mke mpya mwenye kuendana naye Kwa mavazi,na Ile kujishauashau .

Nailikuwa hivi haendi na mkewe popote Kwa sababu atamwaibisha. So akakubaliwa na mkewe akaoa mke mwingine mrembo sana. Yule mke wa kwanza alikuwa kijakazi wandani kila kitu aliwafanyia.

Ila naye akapata mtu wa kumuoa ndio hapo ex-mume akaanza vurugumai Sasa watu wanadai ya Nini na huku Alisha muacha ila mwisho wa kila kitu . Aliolewa na huyo tajiri na watoto wake wako Kwa huyo tajiri .

Je ingelikuwa wewe ukiamua kutupa lulu kwenye mti ikachukuliwa utafanyaje na Ili hali ulimdharau??
kitu kama hicho hakiwez kutokea.
 
Hakuna anayeweza kutupa lulu. Binafsi siwezi kutupa lulu, na ukiona lulu imetupwa, basi haikuwa lulu.

Kwenye story yako, kama mwanaume ni muislam, basi Sheria zao zinaruhusu mke wa pili, na kwavile wa kwanza hakupewa talaka, basi Bado ni mkewe
Walitalakiana akawaomba Aishi kwasababu ya watoto wake
 
Ni hivi palikuwa na mwanaume mmoja alikuwa anaishi na mke na watoto watatu wamekuza mpaka mmoja kaoa .
Huyo baba alipenda kuvaa nguo nzuri sana na alikuwa anajulikana Kwa kujipenda . Mno Sasa Kuna siku Moja aliitisha kikao Cha ukoo akasema anataka kuoa mke mpya mwenye kuendana naye Kwa mavazi,na Ile kujishauashau .

Nailikuwa hivi haendi na mkewe popote Kwa sababu atamwaibisha. So akakubaliwa na mkewe akaoa mke mwingine mrembo sana. Yule mke wa kwanza alikuwa kijakazi wandani kila kitu aliwafanyia.

Ila naye akapata mtu wa kumuoa ndio hapo ex-mume akaanza vurugumai Sasa watu wanadai ya Nini na huku Alisha muacha ila mwisho wa kila kitu . Aliolewa na huyo tajiri na watoto wake wako Kwa huyo tajiri .

Je ingelikuwa wewe ukiamua kutupa lulu kwenye mti ikachukuliwa utafanyaje na Ili hali ulimdharau??
Mama kama amevumilia mpaka watoto wamekuwa wakubwa, angejiweka zake pembeni kimya kimya.
 
Back
Top Bottom