Soma historia hii ya Burundi utajifunza kitu ndani yake dhidi ya mapinduzi ya Nkurunziza

Soma historia hii ya Burundi utajifunza kitu ndani yake dhidi ya mapinduzi ya Nkurunziza

Story nzuri..ila vingi haujavizungumzia kwenye story yako, kama kuuwawa kwa kutunguliwa na ndege kwa raisi wao na wa Rwanda wakitokea Tanzania etc.
 
Mmmh, I stand to be corrected, Raid Ndadaye, alikufa kwa kuuawa nyumbani kwake au alikufa kwa ajali ya ndege inayoaminika kuwa ilitunguliwa na waasi wa kitutsi, wakati akirejea nyumbani toka mkutanoni DSM?
 
Rwanda & Burundi baba mmoja mama mmoja
 
Mmmh, I stand to be corrected, Raid Ndadaye, alikufa kwa kuuawa nyumbani kwake au alikufa kwa ajali ya ndege inayoaminika kuwa ilitunguliwa na waasi wa kitutsi, wakati akirejea nyumbani toka mkutanoni DSM?

Isiwe wewe ndio unachanganya,cprian ntayamila na juvenile habyariamana?
 
Mmmh, I stand to be corrected, Raid Ndadaye, alikufa kwa kuuawa nyumbani kwake au alikufa kwa ajali ya ndege inayoaminika kuwa ilitunguliwa na waasi wa kitutsi, wakati akirejea nyumbani toka mkutanoni DSM?
Huyo aliyekufa kwa ajali Ni ntalyamila mrithi wa ndadaye
 
Nachoamini mimi ni dhambi kubwa kwa muhutu kumtawala mtutsi kwani tunaamini wahutu hawana akili nzuri na hawawezi kujisimamia mambo yao wao hufaa kutawaliwa na kuchunga :mifugo

Watu Kama weye Arovera BABARIRA WIHANGANE KAHzoongoo
 
Na ndio maana unaona Rwanda ya Kagame leo ukianzia Kirehe, butare, nyakarambi, kayonza, Rwamagana, Chigali, Ruhengeri hadi Gisenyi iko tofauti sana na ile ya wale jamaaaa

Kati ya Rwanda na Burundi wapi kuna maendeleo ya miundombinu. Ama hujawahi fika Rwanda
 
Back
Top Bottom