Soma kisa hiki cha ndoa

Soma kisa hiki cha ndoa

proton pump

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2017
Posts
6,814
Reaction score
10,104
Siku moja mume akondoka asubuhi kwenda kazini na kumuaga mke wake anaenda kazini.

Jioni akarudi akiwa na msongo wa mawazo. Mke akamuuliza kulikoni mume wangu.

Mume:- Kazini ofisi imeungua na kuua wafanyakazi wote.

Mke:- wewe umeponaje sasa,

Mume:- Nilikuwa nakunya choo cha jirani.

Mke:- Vipi kuhusu hao walioungua sasa inakuaje kwenye familia zao.

Mume:- Bosi ameamua kuwafidia milioni 100 kila familia ya mfiwa.

Mke:- Ona sasa kunya kunya kwako choo cha jirani, si ungeenda zako kunya ahera tu nipate milioni 100.

Mume akahama nyumba na hakurudi tena.
 
Back
Top Bottom