The introvert
JF-Expert Member
- Sep 15, 2023
- 701
- 1,522
Cc: SwahiliTimes
๐ก๐ฏ : ๐ช๐ฒ๐๐ฒ ๐ป๐ถ ๐ ๐ฝ๐ฒ๐ป๐๐ถ ๐บ๐๐ผ๐บ๐ฎ๐ท๐ถ ๐๐ฎ ๐ด๐ฎ๐๐ฒ๐๐ถ ๐น๐ถ๐ฝ๐ถ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
In chilling voice ๐ Ndo magazeti yetu mkuu tutafanyajeMh. Quite predictable news
Gazeti miaka hiyo kuna habari motomoto unawah kulipa 50 usome unakuta foleniIn chilling voice ๐ Ndo magazeti yetu mkuu tutafanyaje
Kariba ya uandishi inaelekea kupotea kabisa , maana nasikia kuna magazeti ni chawa wa upande fulani kazi yao ni kusifia tuGazeti miaka hiyo kuna habari motomoto unawah kulipa 50 usome unakuta foleni
Hata makala za mpora wachambuzi uchwara
Tasnia ya habari imeingiliwa na jini mahaba.Kariba ya uandishi inaelekea kupotea kabisa , maana nasikia kuna magazeti ni chawa wa upande fulani kazi yao ni kusifia tu
Inasikitisha sana , so mkuu umeacha kabisa kusoma magazeti?Tasnia ya habari imeingiliwa na jini mahaba.
Dark times
Shukrani sana Tupo pamojaThanks a lot mkuu.
Nasoma online, most of time.Inasikitisha sana , so mkuu umeacha kabisa kusoma magazeti?
Nimekuelewa mkuu ,kiasi flani pia ninaona ukuaji wa teknolojia hasa katika matumizi ya simu janja yamefanya usomaji wa magazeti kupungua kwa kasi kubwa , Japo kuna baadhi ya waandishi mashuhuri wanashwishi kusoma baadhi ya magazetiNasoma online, most of time.
Siku hizi taarifa unazipata online hata kabla hujazisikia kwnye magazeti
Unakuta gazeti linareport taarifa ya jummanne na unakuta siku hiyo ni alhamis
Magazeti mengi wanaweka taarifa zao online kama mwananchi. Ila taarifa ambazo zinawekwa sio zote. Yani kwenye magazeti kuna taarifa nyingi zaidiNimekuelewa mkuu ,kiasi flani pia ninaona ukuaji wa teknolojia hasa katika matumizi ya simu janja yamefanya usomaji wa magazeti kupungua kwa kasi kubwa , Japo kuna baadhi ya waandishi mashuhuri wanashwishi kusoma baadhi ya magazeti
......very word reasonate with purpose"When the introvert speaks......
Oh sawa mkuu ๐Magazeti mengi wanaweka taarifa zao online kama mwananchi. Ila taarifa ambazo zinawekwa sio zote. Yani kwenye magazeti kuna taarifa nyingi zaidi
Ila napenda sana makala za mwananchi. Zinakuwa na weledi mkubwasana. Ubaya magazeti haya ni aina mpya ya chawa wa mitandaoni
Kumbe wale watu ninaowaona kwenye meza ya magazeti wamelipia 50/- ?Gazeti miaka hiyo kuna habari motomoto unawah kulipa 50 usome unakuta foleni
Hata makala za mpora wachambuzi uchwara
Nanukuu "Gazeti miaka hiyo"Kumbe wale watu ninaowaona kwenye meza ya magazeti wamelipia 50/- ?
Miaka hio walikuwa wanalipa kusoma kurasa za mbele?Nanukuu "Gazeti miaka hiyo"
Sasa hivi unalipa 200 na.....Kumbe wale watu ninaowaona kwenye meza ya magazeti wamelipia 50/- ?