aliekatakamba humutuu
JF-Expert Member
- Feb 1, 2024
- 341
- 714
Ndomana soko la magazeti ya kibongo limekufa. Hivi nani wa kutoa hela yake akanunue magazeti yenye habari za kichawa!? Uchawa mtupu! Angalau Mwananchi kwa mbali bado wanasimama kwenye taaluma japo upepo wa uchawa nao haujawaacha sslama.View attachment 3193734View attachment 3193735View attachment 3193736View attachment 3193737View attachment 3193739View attachment 3193740View attachment 3193741View attachment 3193742View attachment 3193744View attachment 3193745View attachment 3193747
Cc: SwahiliTimes
๐ก๐ฏ : ๐ช๐ฒ๐๐ฒ ๐ป๐ถ ๐ ๐ฝ๐ฒ๐ป๐๐ถ ๐บ๐๐ผ๐บ๐ฎ๐ท๐ถ ๐๐ฎ ๐ด๐ฎ๐๐ฒ๐๐ถ ๐น๐ถ๐ฝ๐ถ?
Sikuhizi uchawa kila mahali ndugu ๐nivijiji vipi hivyo vyenye umeme?%99.9
Uzuzu + Uchawa hiyo ndio sababu ya haya yoteHizo page zimekaa kishabiki
Sikuhizi ni kusifia tu , habari za kiintelelijensia na kiuchunguzi zimepotea kabisa.Ndomana soko la magazeti ya kibongo limekufa. Hivi nani wa kutoa hela yake akanunue magazeti yenye habari za kichawa!? Uchawa mtupu! Angalau Mwananchi kwa mbali bado wanasimama kwenye taaluma japo upepo wa uchawa nao haujawaacha sslama.
Sidhani kwa sasaKuna watu wa kutosha bado wananunua magazeti kiasi kwamba yajiendeshe kwa faida?
Hapana sidhani maana hayo magazeti yamechapishwa jana usiku maana hii thread ni ya leo saa sita usiku, hii stori imeanza kutrend leo asubuhiMbona hakuna ile habari ya barozi wakuu
Barozi wa zambia
Hamna hata mojaView attachment 3193734View attachment 3193735View attachment 3193736View attachment 3193737View attachment 3193739View attachment 3193740View attachment 3193741View attachment 3193742View attachment 3193744View attachment 3193745View attachment 3193747
Cc: SwahiliTimes
๐ก๐ฏ : ๐ช๐ฒ๐๐ฒ ๐ป๐ถ ๐ ๐ฝ๐ฒ๐ป๐๐ถ ๐บ๐๐ผ๐บ๐ฎ๐ท๐ถ ๐๐ฎ ๐ด๐ฎ๐๐ฒ๐๐ถ ๐น๐ถ๐ฝ๐ถ?
Sawa sawa mkuuHapana sidhani maana hayo magazeti yamechapishwa jana usiku maana hii thread ni ya leo saa sita usiku, hii stori imeanza kutrend leo asubuhi