Soma kwa Umakini: Katika jezi mpya, ni ama Simba imepatia sana au imekosea sana

Soma kwa Umakini: Katika jezi mpya, ni ama Simba imepatia sana au imekosea sana

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Baada ya majadiliano ya jana baada ya uzinduzi wa jezi, nimepata wasaa wa kutafakari mtazamo wangu nilioutoa jana. Nitaelezea kwa ufupi sana ila huu utakuwa mchango wangu wa mwisho kwenye mada hii.

Kuna mawili, ni ama Simba imepatia sana katika hili jambo au imekosea mno.

Simba imepatia sana:
Kama zile 5 na 1 zilizopo kwenye jezi zina uhusiano wowote na kutumia neno Sanda ikiwa na maana ya Simba imezika kiimani na kiroho aibu yote iliyotokana na yale yaliyotokea msimu uliopita, basi hapo itakuwa imepatia sana na tutegemee Simba yenye mafanikio zaidi msimu huu. Kama nia ni kuendelea kusaka yeyote aliyehusika na hujuma ya zile goli 5 ili akiivaa jezi sanda imhusu, siyo mbaya ila naona kama tutakuwa tunaangalia nyuma sana (wale wa nyuma mwiko mpooo?). Haya ni mambo ya kiroho zaidi, nadhani mtajiongeza wenyewe.

Simba imekosea sana:
Kama yale niliyosema jana yamefanyika kwa hila za watu wachache walio ndani na nje ya Simba au kama ilikuwa ni nia njema asiyozaa matunda yaliyotarajiwa halafu Simba ikipokea kipigo kizito msimu huu kutoka kwa Yanga na isipofanikiwa kutwaa NBC na kutolewa mapema CAFCC, Simba inaenda kupotea mazima. Haya yakitokea msimu huu, tutegemee anguko kubwa la Simba litakalodumu muda mrefu sana.

Muda utasema lipi ni sahihi ila Simba ijitafakari sana. Binafsi sitatoa mchango zaidi katika mada hii.

Kwa kumalizia, soma Zaburi 132:18 na Zaburi 109:29.
 
Baada ya majadiliano ya jana baada ya uzinduzi wa jezi, nimepata wasaa wa kutafakari mtazamo wangu nilioutoa jana. Nitaelezea kwa ufupi sana ila huu utakuwa mchango wangu wa mwisho kwenye mada hii.

Kuna mawili, ni ama Simba imepatia sana katika hili jambo au imekosea mno.

Simba imepatia sana:
Kama zile 5 na 1 zilizopo kwenye jezi zina uhusiano wowote na kutumia neno Sanda ikiwa na maana ya Simba imezika kiimani na kiroho aibu yote iliyotokana na yale yaliyotokea msimu uliopita, basi hapo itakuwa imepatia sana na tutegemee Simba yenye mafanikio zaidi msimu huu. Haya ni mambo ya kiroho zaidi lakini nadhani mtajiongeza.

Simba imekosea sana:
Kama yale niliyosema jana yamefanyika kwa hila za watu wachache walio ndani na nje ya Simba au kama ilikuwa ni nia njema asiyozaa matunda yaliyotarajiwa halafu Simba ikipokea kipigo kizito msimu huu kutoka kwa Yanga na isipofanikiwa kutwaa NBC na kutolewa mapema CAFCC, Simba inaenda kupotea mazima. Haya yakitokea msimu huu, tutegemee anguko kubwa la Simba litakalodumu muda mrefu sana.

Muda utasema lipi ni sahihi ila Simba ijitafakari sana. Binafsi sitatoa mchango zaidi katika mada hii.

Kwa kumalizia, soma Zaburi 132:18 na Zaburi 129:29.
Ni mtazamo wako tu, hakuna mambo ya kiroho. Management is all about both science and art
 
Unajaribu ku defend.
HIZI SANDA LABDA WAZITOE SANDAKALAWE.
 
Baada ya majadiliano ya jana baada ya uzinduzi wa jezi, nimepata wasaa wa kutafakari mtazamo wangu nilioutoa jana. Nitaelezea kwa ufupi sana ila huu utakuwa mchango wangu wa mwisho kwenye mada hii.

Kuna mawili, ni ama Simba imepatia sana katika hili jambo au imekosea mno.

Simba imepatia sana:
Kama zile 5 na 1 zilizopo kwenye jezi zina uhusiano wowote na kutumia neno Sanda ikiwa na maana ya Simba imezika kiimani na kiroho aibu yote iliyotokana na yale yaliyotokea msimu uliopita, basi hapo itakuwa imepatia sana na tutegemee Simba yenye mafanikio zaidi msimu huu. Haya ni mambo ya kiroho zaidi lakini nadhani mtajiongeza.

Simba imekosea sana:
Kama yale niliyosema jana yamefanyika kwa hila za watu wachache walio ndani na nje ya Simba au kama ilikuwa ni nia njema asiyozaa matunda yaliyotarajiwa halafu Simba ikipokea kipigo kizito msimu huu kutoka kwa Yanga na isipofanikiwa kutwaa NBC na kutolewa mapema CAFCC, Simba inaenda kupotea mazima. Haya yakitokea msimu huu, tutegemee anguko kubwa la Simba litakalodumu muda mrefu sana.

Muda utasema lipi ni sahihi ila Simba ijitafakari sana. Binafsi sitatoa mchango zaidi katika mada hii.

Kwa kumalizia, soma Zaburi 132:18 na Zaburi 129:29.
Kwa mara ya Kwanza ndo naona brand name inafupiahwa.
Yaani;
Nai - Nike
Malbo - Malboro
Saf - Safari
 
Baada ya majadiliano ya jana baada ya uzinduzi wa jezi, nimepata wasaa wa kutafakari mtazamo wangu nilioutoa jana. Nitaelezea kwa ufupi sana ila huu utakuwa mchango wangu wa mwisho kwenye mada hii.

Kuna mawili, ni ama Simba imepatia sana katika hili jambo au imekosea mno.

Simba imepatia sana:
Kama zile 5 na 1 zilizopo kwenye jezi zina uhusiano wowote na kutumia neno Sanda ikiwa na maana ya Simba imezika kiimani na kiroho aibu yote iliyotokana na yale yaliyotokea msimu uliopita, basi hapo itakuwa imepatia sana na tutegemee Simba yenye mafanikio zaidi msimu huu. Haya ni mambo ya kiroho zaidi lakini nadhani mtajiongeza.

Simba imekosea sana:
Kama yale niliyosema jana yamefanyika kwa hila za watu wachache walio ndani na nje ya Simba au kama ilikuwa ni nia njema asiyozaa matunda yaliyotarajiwa halafu Simba ikipokea kipigo kizito msimu huu kutoka kwa Yanga na isipofanikiwa kutwaa NBC na kutolewa mapema CAFCC, Simba inaenda kupotea mazima. Haya yakitokea msimu huu, tutegemee anguko kubwa la Simba litakalodumu muda mrefu sana.

Muda utasema lipi ni sahihi ila Simba ijitafakari sana. Binafsi sitatoa mchango zaidi katika mada hii.

Kwa kumalizia, soma Zaburi 132:18 na Zaburi 129:29.
Mkuu hapo kwenye Zaburi ulikuwa unamaanisha Zaburi 109:29 na Zaburi 132:8?? Maana hivo vifungo ulivo viweka hapo havipo katika Biblia.
 
Mkuu hapo kwenye Zaburi ulikuwa unamaanisha Zaburi 109:29 na Zaburi 132:8?? Maana hivo vifungo ulivo viweka hapo havipo katika Biblia.
Typo Zaburi 109:29. Hiyo nyingine ilikuwa sahihi, Zaburi 132:18
 

Attachments

  • 20240725_135731.jpg
    20240725_135731.jpg
    89.7 KB · Views: 4
  • 20240725_135213.jpg
    20240725_135213.jpg
    87.8 KB · Views: 5
  • 20240725_135342.jpg
    20240725_135342.jpg
    91.9 KB · Views: 5
  • 20240725_135240.jpg
    20240725_135240.jpg
    79.8 KB · Views: 5
  • 20240725_135418.jpg
    20240725_135418.jpg
    262.1 KB · Views: 6
  • 20240725_135635.jpg
    20240725_135635.jpg
    265 KB · Views: 6
Hasa hapo hauoni kama kuna picha zingine zime editiwa? Jezi haziwezi kutengenezwa na matoleo mawili. Toleo moja liwe na 5 1 na jezi zingine zisiwe nazo.
 
Asa hapo hauoni kama kuna picha zingine zime editiwa? Jezi haziwezi kutengenezwa na matoleo mawili. Toleo moja liwe na 5 1 na jezi zingine zisiwe nazo.
Nimekuwekea picha mbili mbili, moja original nyingine nimeandika pale nilipoona 5 na 1 zilipo ili urudi kwenye original ujue pa kuangalia. Namba zingine zime blend kwenye mchanganyiko wa rangi kwa hiyo unaiona kipande tu
 
Baada ya majadiliano ya jana baada ya uzinduzi wa jezi, nimepata wasaa wa kutafakari mtazamo wangu nilioutoa jana. Nitaelezea kwa ufupi sana ila huu utakuwa mchango wangu wa mwisho kwenye mada hii.

Kuna mawili, ni ama Simba imepatia sana katika hili jambo au imekosea mno.

Simba imepatia sana:
Kama zile 5 na 1 zilizopo kwenye jezi zina uhusiano wowote na kutumia neno Sanda ikiwa na maana ya Simba imezika kiimani na kiroho aibu yote iliyotokana na yale yaliyotokea msimu uliopita, basi hapo itakuwa imepatia sana na tutegemee Simba yenye mafanikio zaidi msimu huu. Kama nia ni kuendelea kusaka yeyote aliyehusika na hujuma ya zile goli 5 ili akiivaa jezi sanda imhusu, siyo mbaya ila naona kama tutakuwa tunaangalia nyuma sana (wale wa nyuma mwiko mpooo?). Haya ni mambo ya kiroho zaidi, nadhani mtajiongeza wenyewe.

Simba imekosea sana:
Kama yale niliyosema jana yamefanyika kwa hila za watu wachache walio ndani na nje ya Simba au kama ilikuwa ni nia njema asiyozaa matunda yaliyotarajiwa halafu Simba ikipokea kipigo kizito msimu huu kutoka kwa Yanga na isipofanikiwa kutwaa NBC na kutolewa mapema CAFCC, Simba inaenda kupotea mazima. Haya yakitokea msimu huu, tutegemee anguko kubwa la Simba litakalodumu muda mrefu sana.

Muda utasema lipi ni sahihi ila Simba ijitafakari sana. Binafsi sitatoa mchango zaidi katika mada hii.

Kwa kumalizia, soma Zaburi 132:18 na Zaburi 109:2
Kwa huu umri wangu na elimu yangu ndogo hii sijawahi kuona trade mark inafupishwa labda ndo angukuko. Ni bora wangefupisha maneno ambayo yangekuwa na positive meaning kuliko neno la UMAUTI
 
Nimekuwekea picha mbili mbili, moja original nyingine nimeandika pale nilipoona 5 na 1 zilipo ili urudi kwenye original ujue pa kuangalia. Namba zingine zime blend kwenye mchanganyiko wa rangi kwa hiyo unaiona kipande tu
Nimekuelewa na nimeielewa. Dizaini nzima ya jezi imebase kwenye 1 5
 
Back
Top Bottom