Soma Kwa Wafuasi wa Upinzani Tanzania; Je, Mondlane alihitaji Kuingiza Vijana wauawe barabarani ili aingie kwenye maridhiano na Serikali ya Msumbiji?

Soma Kwa Wafuasi wa Upinzani Tanzania; Je, Mondlane alihitaji Kuingiza Vijana wauawe barabarani ili aingie kwenye maridhiano na Serikali ya Msumbiji?

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Maana wakati Anachochea Vijana wanauwawa yeye alikuwa anakula maisha Kwa Mabeberu.

Rais Daniel Chapo aliapishwa tena na Viongozi walialikwa akiwemo PM Majaliwa.Baadae Jamaa amerudi anadai Yuko tayari kufanya maridhiano na Serikali ya Msumbiji na kujiunga nayo? Mozambique's Venâncio Mondlane open to serving in Daniel Chapo's government


Swali:

Je alihitaji kuchochea watu wajinga (Vijana ) Wauwawe Ili afanye maridhiano na Serikali kisa kuwajaza upepo wa uongo eti aliibiwa kura.

My Take
Nawakumbusha tuu Vijana wa Tanzania kwamba msije kukubali kutumika na Wanasiasa,wako hapo kusaka madaraka sio Kwa Ajili yenu.

Hii imfikie Lisu na Wafuasi wake wanaohemka humu mitandaoni Kwa kujazwa upepo.

Screenshot_20250122-084358.jpg
 
Nani awaue hao vijana na kwa sababu zipi??
Kwa sababu watashindwa uchaguzi harafu Kibaraka Kibaraka Lisu akiwa Ubelgiji atakuwa anawaambia waandane hapo Sasa wataona moto wa kutumika.

Mwisho wa siku atasema anakubali maridhiano.
 
Kwa sababu watashindwa uchaguzi harafu Kibaraka Kibaraka Lisu akiwa Ubelgiji atakuwa anawaambia waandane hapo Sasa wataona moto wa kutumika.

Mwisho wa siku atasema anakubali maridhiano.
Umejuaje watashindwa uchaguzi na umejeuaje wataingia barabarani baada ya kushindwa uchaguzi?
 
Umejuaje watashindwa uchaguzi na umejeuaje wataingia barabarani baada ya kushindwa uchaguzi?
Uchaguzi lazima washindwe kama uchaguzi wa Serikali za Mitaa waliweza kusimamisha less than 30% ya wagombea huo wa Urais watapitia wapi Sasa.

Pili Ili kuhalalisha nyie nyumbu kutumika watasema wameibiwa hivyo Vijana wakapiganie Haki Yao.

Hapo ndipo watakutana na mkono wa Dola.
 
Maana wakati Anachochea Vijana wanauwawa yeye alikuwa anakula maisha Kwa Mabeberu.

Rais aliapishwa tena na Viongozi walialikwa akiwemo PM Majaliwa.Baadae Jamaa amerudi anadai Yuko tayari kufanya maridhiano na Serikali ya Msumbiji na kujiunga nayo? Mozambique's Venâncio Mondlane open to serving in Daniel Chapo's government


Swali:

Je alihitaji kuchochea watu wajinga (Vijana ) Wauwawe Ili afanye maridhiano na Serikali .

My Take
Nawakumbusha tuu Vijana wa Tanzania kwamba msije kukubali kutumika na Wanasiasa,wako hapo kusaka madaraka sio Kwa Ajili yenu.

Hii imfikie Lisu na Wafuasi wake wanaohemka humu mitandaoni Kwa kujazwa upepo.
View attachment 3209720
Acha kuweweseka, Lissu ndio kwanza katangazwa mshindi, halafu Lissu alipigwa risasi nyingi acha kumfananisha na huyo jamaa wa Msumbiji, ambaye hata kofi hajapigwa
 
Uchaguzi lazima washindwe kama uchaguzi wa Serikali za Mitaa waliweza kusimamisha less than 30% ya wagombea huo wa Urais watapitia wapi Sasa.

Pili Ili kuhalalisha nyie nyumbu kutumika watasema wameibiwa hivyo Vijana wakapiganie Haki Yao.

Hapo ndipo watakutana na mkono wa Dola.
Umejuaje watashindwa?
 
Vijana wenyewe msumbiji waliingia barabarani kutetea haki yao, hayo mengine ni fikra zako.
Wameipata? Haki Yao ni Kwa mgombea wao kuwa sehemu ya Serikali aliyodia imeiba kura?

Wajinga hamtakaa muishe na Wacha muuwawe Kwa kutumia na Wanasiasa
 
Wameipata? Haki Yao ni Kwa mgombea wao kuwa sehemu ya Serikali aliyodia imeiba kura?

Wajinga hamtakaa muishe na Wacha muuwawe Kwa kutumia na Wanasiasa

Unapoonyesha hisia zako juu ya jambo fulani inaonyesha kutokukubaliana, kuipata au kutoipata haki kunaweza kuja wakati wowote ule.

Dunia mpaka hapa ilipofikia, watu wengi wamekufa ili kuifikisha hapa, wapo wanascience, madaktari, walimu, wapigania haki nk.
Haki Tanganyika kumtoa mkoloni wapo waliokufa, WW2 iliua watu wengi pia.
 
Imekuwa kawaida wanaharakati Africa kuwatumia vijana kupambana na dola ili kusukuma agenda.Lakini mara nyingi vijana hutumika kama kifaa tu.

Huko Kenya Raila amekuwa akiwatumia vijana kupambana na dola akidai wamemwibia kura Kwenye chaguzi kuu mbali mbali.
Lakini baadae utamsikia amefanya maridhiano na dola kwa maslahi yake binafsi,hakumbuki vijana waliopigwa,wakanyanyaswa,wakabakwa,wakateswa,kufungwa hata kupoteza maisha.

Mabeberu hao ambao hutumia wananchi kama mtaji wao,hata wakija fanikiwa hawawakumbuki kabisa vijana walioteswa ,walimwaga damu yao kuleta mageuzi.
 
Unapoonyesha hisia zako juu ya jambo fulani inaonyesha kutokukubaliana, kuipata au kutoipata haki kunaweza kuja wakati wowote ule.

Dunia mpaka hapa ilipofikia, watu wengi wamekufa ili kuifikisha hapa, wapo wanascience, madaktari, walimu, wapigania haki nk.
Haki Tanganyika kumtoa mkoloni wapo waliokufa, WW2 iliua watu wengi pia.
Sawa endeleeni kufia Wanasiasa,mifano ni Mingi sio tuu huko Mozambique Bali hata Kenya imetokea hivyo hivyo na hawajapata
 
Imekuwa kawaida wanaharakati Africa kuwatumia vijana kupambana na dola ili kusukuma agenda.Lakini mara nyingi vijana hutumika kama kifaa tu.

Huko Kenya Raila amekuwa akiwatumia vijana kupambana na dola akidai wamemwibia kura Kwenye chaguzi kuu mbali mbali.
Lakini baadae utamsikia amefanya maridhiano na dola kwa maslahi yake binafsi,hakumbuki vijana waliopigwa,wakanyanyswa,wakabakwa wakateswa,kufungwa hata kupoteza maisha.

Mabeberu hao ambao hutumia wananchi kama mtaji wao,hata wakija fanikiwa hawawakumbuki kabisa vijana walioteswa ,walimwaga damu yao kuleta mageuzi.
Na mara nyingi ni ajenda za uroho wa madaraka,wanachochea uongo eti wakishinda wakati hawana nyaraka na Vijana Kwa kutotumika akili wanajazwa upepo na mambo Yao yanaenda kombo huku Wanasiasa mambo Yao yakoenda poa.
 
Wqj
Maana wakati Anachochea Vijana wanauwawa yeye alikuwa anakula maisha Kwa Mabeberu.

Rais aliapishwa tena na Viongozi walialikwa akiwemo PM Majaliwa.Baadae Jamaa amerudi anadai Yuko tayari kufanya maridhiano na Serikali ya Msumbiji na kujiunga nayo? Mozambique's Venâncio Mondlane open to serving in Daniel Chapo's government


Swali:

Je alihitaji kuchochea watu wajinga (Vijana ) Wauwawe Ili afanye maridhiano na Serikali .

My Take
Nawakumbusha tuu Vijana wa Tanzania kwamba msije kukubali kutumika na Wanasiasa,wako hapo kusaka madaraka sio Kwa Ajili yenu.

Hii imfikie Lisu na Wafuasi wake wanaohemka humu mitandaoni Kwa kujazwa upepo.

View attachment 3209720
Inga ndio waliwao sijui kwanini vijana hatujifunzi aisee
 
Back
Top Bottom