wakimataifa
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 942
- 168
kwa kweli maelezo ya ramadhani singano mesi kuhusu utata wa mkataba wake na simba inasikitisha sana kwanza anaishi kwenye skwata amenyimwa pacent yake kiujumla mkataba viongozi wa simba wamefoji wala simba wasikatae ila namshauri mesi japo simba wanamwita asiende wakutane mahakama ya fifa tff awepe taarifa tu wakati anaenda fifa aombe kibali fifa kwa kuchezea timu yeyote ili kiwango chake kisishuke