Soma majibu ya Selebu wa Kibongo, Hemed akihojiwa na Zamaradi


Kweli mire*** siku hizi hawafanyi kazi
 
Last edited by a moderator:

hana akili na ww unamsapoti
 
I swear to GOD, sikujua huyu dogo ni hopeless namna hii.... He is not worth any dime!!
 
hana akili na ww unamsapoti

shughulisha akili yako na elewa unachojaribu kujengea hoja.....dogo kaulizwa anajivunia nini katika sanaa?pili yapi mafanikio aliyoyapata katika sanaa?unataka majibu yako yafanane na yake!muuliza maswali hakumlimit kama ni mafanikio kiuchumi,kiroho,kitaaluma,kimahusiano,kibiashara n.k..........................
 
Post critical thing, ushasema msanii unategemea majibu gani apo
 
Shule ya kata huko wajaleo waondoka leooo!watu wa gahwa hawaaa!!!
 
Yaani kijana wa kiume anajivunia kuitwa msichana mrembo, yaani Sharobaro....! Kweli dunia imekwisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…