Galamtogela
Senior Member
- Aug 25, 2013
- 102
- 27
Mapinduzi ya mwanzo Africa -congo kinshasa 15 sept 1960 Siku 13 tangu nchi ipate uhuru kutoka kwa waberigiji . Patrice lumumba (waziri mkuu) alipinduliwa na hasimu yake Rais joseph kasavubu. Rais joseph kasavubu alipinduliwa na joseph Désiré Mobutu . Raisi Mobutu kwa mkwara mkubwa baada ya muda alijibadilisha jina na kujiita MOBUTU SESESEKO NKUKU NGBENDU WA ZABANGA ambaye nae alipinduliwa na Rais Rolah Désiré kabila .