Soma taratibu kisa hiki kilichonitokea kisha nishauri

Wewe ndio mtu pekee unayeweza kumsaidia huyo dogo. Usimchukie wal usitumie ubabe.

Onyesha upendo kuwa kama kaka yake pia uwe kama mshauri nasihi/counsellor. Ukishindwa muunganishe na washauri wabobezi/professional counsellors.

Pia shirikisha wazazi wake hilo ni janga kubwa. Yeye ameharibika na anaenda kuharibu wenzake.

Mungu akutie nguvu katika jukumu hili zito lililo mbele yako.

Amen.
 
Kama una ushahidi wa audio wazazi wataamini tu.

Shirikisha wazazi. Sio lazima wazazi wote unaweza kuongea na baba tu au mama tu. Soma upepo.
 
Kwa hyo wenye sura ya mama...ndo hvyo tena..

Eeh Mungu utujalie kutuepusha na fitna hzo katka familia zetu...

Na mtindo wa kuwala hao mash*ga mwsho wa sku unajikuta na wewe unazaa shoga ktk damu yako...coz karma is there
Well said!
 
Piga marufuku huyo dunya kutia mguu hapo kwenu asije akawashawishi wadogo zako waingie kwenye huo uchafu.
Huu ndio uamuzi wa kwanza,maana akizoea hapa ni hatari
 
Nashukuru kwa ushauri nitajitahidi kadri ya uwezo wangu
 
Unaweza kukuta ni mke wa mwenyekiti wa mtaa pale Kashmiri nikapigwa ban ya kuonekana ulimwenguni
Ndugu mwalimu kwani utaingia kichwa kichwa ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ

Hatari sana shekhe
 
usiondoke bila kufanya chochote cha kumsaidia....inauma mno....ongea na wazazi wake....mshauri aende hsptl atapata msaada... aiseeee ๐Ÿ˜ก
 
Ndugu mwalimu kwani utaingia kichwa kichwa ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ

Hatari sana shekhe
Yeah, Carlos the Jackie alisema unamfuata tuu mwanamke unamwambia naomba nikunyonye matako unakulaaaa, jaribu sasa uone moto wake
 
Carlos chizi yule๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†ukifuata ushauri wake utavunjwa ugoko
Mnoo, yaani anafanya ngono ionekane jambo simplee, ukisoma nyuzi zake unaweza ukaanza ziara ya kupitia boma za watu na kuwaambia wake za watu vueni niwakule,ila baada ya hapo balaa lake sasa
 
Mnoo, yaani anafanya ngono ionekane jambo simplee, ukisoma nyuzi zake unaweza ukaanza ziara ya kupitia boma za watu na kuwaambia wake za watu vueni niwakule,ila baada ya hapo balaa lake sasa
Hafai yule mwamba.kwanza kapotea siku hizi sijui aliingia kusiko ingilika akavunjwa ugoko ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
 
Hafai yule mwamba.kwanza kapotea siku hizi sijui aliingia kusiko ingilika akavunjwa ugoko ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
Nahisi alikula muke ya kepteni wakamkula na yeye, ila muhuni sana yule jamaa, yaani anakwambia sijui alikutana na mwanamke anaenda sijui dukani akamsalimia akamwambia nataka nikutyombe, demu akakubali akaenda akamuwasha, sasa ukitaka kujaribu huu moto ambia na wewe muke ya jirani yako uone mbiu ya mgambo utakayopigiwa na watu wa mataifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ