Soma taratibu kisa hiki kilichonitokea kisha nishauri

Soma taratibu kisa hiki kilichonitokea kisha nishauri

ninachojiuliza, inakuwaje ukavumilia mwanaume mwenzio anakupapasa au anakusifia kijinga namna hiyo na wewe bado ukaendelea kuwa karibu naye au hata kuongea naye? binafsi kuna mjinga mmoja tena alikuwa mfamasia ni ndugu, tulisalimiana kwenye msg, habari za leo, akajibu "nzuri tyuuu", nilifuta hadi mawasiliano na sijamwelewa hadi leo kama yupo vyema kichwani kwake sitaki hata kukutana naye.
Ndio maana niliandika 'soma taratibu' utaelewa
 
Asee huyo dogo anatia huruma sana,wewe cha kufanya waambie hao madogo zako wajue mana huenda akawamendea bila wao kujua.
 
Ila na wewe ni kama ulikuwa unasikia raha kushikwashikwa na Denis.Nilitegemea dakika tu zile za mwanzo ungekuwa umerusha hata kibao kimoja kikali sana hata kama kingemkosa ungedondoka kwa nguvu ulizozitumia
Ujamuelewa anasema Denis ni mdogo wake yuko chuo , Rama ni mtoto wa kaka yake yuko form 2, Hafu kuna Dogo ambaye anataka kula na kuliwa, muhimu kuwa makini na Rama , mana isije ikawa dogo anamkula Rama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuwaeleza wazazi wake kwangu ni ngumu sana kwanza sio watu ninaofahamiana nao ziadi ya kuwaona tu wakipita,pili Mimi huku ni kama mgeni tu maana huwa sikai hapa,halafu sasa tuhuma zenyewe nitakazopekeka kwao ni nzito mno,sijui kama kuna mzazi ataamini kirahisi
Inaumizaa mno, ila kwakua ulirecord akiwa anazungumza, ni rahisi wazazi wake kukuamini, pili pengine Mungu alikupeleka sehem hiyo kwa makusudi, imagine anaaga anaenda kanisani na wazazi wake wanajua hivyo kumbe anaenda kwenye ushetani huo, kama kuwaeleza wazazi wake ni ngumu, basi Muombe Mama akazungumze nao kwakua anafahamika maeneo hayo. Lakini pia usiache kuongea na Rama+Denic
 
Inaumizaa mno, ila kwakua ulirecord akiwa anazungumza, ni rahisi wazazi wake kukuamini, pili pengine Mungu alikupeleka sehem hiyo kwa makusudi, imagine anaaga anaenda kanisani na wazazi wake wanajua hivyo kumbe anaenda kwenye ushetani huo, kama kuwaeleza wazazi wake ni ngumu, basi Muombe Mama akazungumze nao kwakua anafahamika maeneo hayo. Lakini pia usiache kuongea na Rama+Denic
Ni wazo zuri nilikuwa nafikiria niongee na Maza labda atanisaidia kuongea na wazazi wake
 
Ushauri wa bure,
Usijichanganye kumwambia baba yake, anaweza kupigwa akauawa kwasababu yako
Pili
Umetumia busara kumsikiliza ikiwezekana mchimbe zaidi hisia hizo alianza kuzipata lini kwenye maisha yake, kuna kitu cha kujifunza hapo

Nimekutana na matukio haya sana kwasababu pia ya mwonekano wangu Hb

Nikatakaga sana kujua kuhusu hawa watu, kuna kundi moja hivi la kuzaliwa na kilema cha kuvutiwa na wanaume wenzake, wengine ndani wana jinsia mbili kabisa, wengine uume usioeleweka ni uume au nini, sijui yote haya tumlaumu nani

Kabla huja hukumu jifunze kwanza chunguza kwanza , wanaoteseka na hisia za mapenzi ya jinsia moja japo hawajihusishi ni wengi pia kuna sababu zilinifanya nichimbe haya mambo,

Baada ya jamaa mmoja aliyekuwa na vitabia vya kike kujinyonga na sababu nyingine hiyo ya kufatwa inbox nikiwa Facebook kipindi cha nyuma ,
 
Inawezekana mdogo wako rama hajua husu izo tabia za rafikiye....ala basi Cha MSINGI ,kaaa na uyo mdogo wako rama umwambie kinachoendelea na umchunguze inawezekana wanajuana ...na umkanye aachane naye kabisa....
 
Back
Top Bottom