Soma taratibu kisa hiki kilichonitokea kisha nishauri

usiondoke bila kufanya chochote cha kumsaidia....inauma mno....ongea na wazazi wake....mshauri aende hsptl atapata msaada... aiseeee 😡
Kwenda hospitali hataki,labda kupitia wazazi wake
 
Mtu anataka k.u.f.i.r.w.a wewe una kazi ya kum record

Watu wengine sijui mmeumbwaje

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Kwenda hospitali hataki,labda kupitia wazazi wake
yes hata ukiweza kwa kupitia kwa wazazi wake....utakuwa umemsaidia...najua ni ngumu kuwaeleza wazazi, but please go, jitoe ufahamu umsaidie,, mtafute babake.... ongea nae kiufasaha......kwanza mtengeneze kisaikolojia....maana hakawi kusema wewe ndie unamtungua kijana - a.k.a Dogo....fanya kitu na Mungu atakubariki....kizazi kinaharibika mno.....okoa mmoja itasaidia wengi....
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji38][emoji38][emoji38]mbona unabadirisha kibao
 
Akisharudi mjini!!! Atakuwa kafanya nini? Atakuwa ameokoa nini ikiwa Rama Hajui kama huyo dogo anahizo tabia?

Umetoa jibu lepesi mno Chief ☹️☹️☹️
As if hayamuhusu au sio mzazi?
 
Yaani hapo kwenye kuhisiwa kwamba Mimi ndio 'namtungua' dogo ndio hasa wasiswasi ulipo,hasa dogo akigeuza kibao,bado natafakari sana
 
Yaani hapo kwenye kuhisiwa kwamba Mimi ndio 'namtungua' dogo ndio hasa wasiswasi ulipo,hasa dogo akigeuza kibao,bado natafakari sana
hahahahaaaaaa,, kama una hofu tafuta washirika watu wazima kama wawili, waketishe mumusaidie dogo bro...jukumu letu wazazi
 
ninachojiuliza, inakuwaje ukavumilia mwanaume mwenzio anakupapasa au anakusifia kijinga namna hiyo na wewe bado ukaendelea kuwa karibu naye au hata kuongea naye? binafsi kuna mjinga mmoja tena alikuwa mfamasia ni ndugu, tulisalimiana kwenye msg, habari za leo, akajibu "nzuri tyuuu", nilifuta hadi mawasiliano na sijamwelewa hadi leo kama yupo vyema kichwani kwake sitaki hata kukutana naye.
 
Nilipoanza kusoma huu uzi niliogopa sana, nilidhani dogo ni basha anataka amtafune huyu jamaa
 
Nilipoanza kusoma huu uzi niliogopa sana, nilidhani dogo ni basha anataka amtafune huyu jamaa
angekuwa basha wa kutafuta huyu jamaa angefanikiwa, kwasababu jamaa alikubali akatulia tu hata kupapaswa hakuhisi kinyaa.
 
Sasa hapo kosa lake nini???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mbona makasiriko hivyooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…