Soma upate mawili matatu: Mhitimu mambo ninayopitia kipindi hiki katika harakati zangu

One day EVERYTHING WILL BE OKEY.

Naondoka na hili ""Naamini katika kusubiri million basi unapaswa utafute Buku.""

#YNWA
 
Yote haya ni uzezeta WA Sisi wenyewe wananchi ,suala ni kwamba tuna uchumi mfu nchi hii , uchumi usiozalisha ajira na economic opportunities Kwa wananchi ni uchumi mfu .
Serikali ya CCM imedumaza hii nchi na uchumi Kwa zaidi ya miaka 60 lakini bado tunaona ni kawaida Tu hatuchukui hatua ya kuwatoa hawa takataka toka kwenye madaraka ,angalia maisha yalivyo magumu sasa hivi + inflation ya bidhaa na huduma , this is death
 
Hili ni janga ,too bad wapumbav wengi wanaona kawaida Ila si kawaida na hatutakiwi kuona hili suala ni kawaida ,ni mtu mwenye mtindio WA ubongo na uvivu WA kufikiri ndio anaeweza ona kawaida na kushabikia mtu msomi mwenye fani yake kufanya kazi za kipumbav kama hizo anazofanya mtoa mada . Hili ni tatizo .
Ni misuse and poor utilization ya resources , wengi hamuelewi kwamba human resource tena skilled kama huyo mtoa mada yaani mtu mwenye fani ni resource ambayo taifa linatakiwa liitumie ipasavyo Ka inavyofaa ,sio mtu anasoma mpaka chip kikuu halafu anakuwa mchimba mchanga huo ni utaahira na uzezeta.
Hii nchi kama watu hawatakaa na kujiuliza mambo muhimu kama haya kila siku mbajadili upumbav WA Yanga Simba na uzwazwa mwingine hili Taifa halitakaa litoboe hata siku moja .

Ni Kwa nini watu wafanye kazi za kipumbav na resources zote nchii ilizo nazo ? Kwa nini watu wanaishi maisha ya kimasikini na kilofa nchi hii ? Hao wapuuz wanaowaambia mjiajiri Kwa kuchimba mchanga na kufanya hizo kazi za kis£nge wao mbona watoto wao au ndugu zao hawajawaruhusu au kuwaambia wafanye hivyo ?

Sasa hiyo mikopo na Ada zilizotumika mnatoa za nini kama si upotevu WA pesa ,yaani mtu kasimeshwa Kwa mamilioni Kwa fedha za walipa Kodi halafu was£ng£ nyie mnafurahia huyo mtu kwenda kufanya kazi za kilofa kama kuuza karanga na kuchimba mchanga , sh£nzi.
 
Kama anavyotueleza Robert T. Kiyosaki kwenye kitabu chake cha Rich dad's Cash flow Quadrant inaonekana wewe kwa sasa uko kwenye Self employed quadrant... Hata hivyo ili uweze kuwa financially free unatakiwa kuingia kwenye quadrants za upande wa kulia (Bussiness owner na baadae investor)... Hongera zako all the same...
 
Pole mkuu
 
Jamaa anatupiga fix kweli..mara anasema amemaliza SUA kozi ya Agriculture mara amemaliza B.A. Education in Geography and Mathematics yaani haeleweki🤣🤣🤣
We jamaa wapi nilisema nimesomea agrculture? Mimi nilisomea ualimu, and i do now.
 
Jamaa anatupiga fix kweli..mara anasema amemaliza SUA kozi ya Agriculture mara amemaliza B.A. Education in Geography and Mathematics yaani haeleweki🤣🤣🤣
Wapi nimesema nimesomea kilimo?
 
Umeeleweka kamanda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…