Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
- Thread starter
- #21
Galileo...
Vitabu hivi havipatikani mikoani viko Dar-es-Salaam tu:
Vitabu hivi havipatikani mikoani viko Dar-es-Salaam tu:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kugi...Kuna watu wanachukia ukiwataja watu wengine kama nao wameshiriki katika harakati za kutafuta uhuru wa Tanganyika wao wanataka wasie Nyerere tu.
Wewe ni mdini sawa na magufuli tu,
Enzi za JK ulikua hukomi humu JF kwa uchochezi.
Akaja JPM ulipotea kama upepo wa kisulisuli, sasa kaja Maza umerudi kuchokonoa.
Hebu tueleze na historia ya CORONA maana mahadithi yako yasio na utafiti wa kisayansi na yasiyokua na tija huko mbeleni yanachosha