Wewe ni mdini sawa na magufuli tu,
Enzi za JK ulikua hukomi humu JF kwa uchochezi.
Akaja JPM ulipotea kama upepo wa kisulisuli, sasa kaja Maza umerudi kuchokonoa.
Hebu tueleze na historia ya CORONA maana mahadithi yako yasio na utafiti wa kisayansi na yasiyokua na tija huko mbeleni yanachosha