Somalia: Al-Shabab wateka hoteli Mogadishu

Somalia: Al-Shabab wateka hoteli Mogadishu

Somalia's new president, Hassan Sheikh Mohamud, said last month that ending Al-Shabab's insurgency required more than a military approach. But he added that his government would negotiate with the group only when the time is right.
Mweh
 
Yaani hii yote ni kwamba shida ni wale mabikra tu. 😛 😛😛😛
 
Ingekua waislamu kwenye nchi moja au tabaka moja ningeelewa hizi nadharia, ila sasa haya mavitu wanayafanya kwenye kila nchi ya kiislamu, na kila wakiyafanya lazima wataje huyo allah, kwamba wanampigania yeye, nilisoma sehemu hata huyo Mohammed aliwahi kuamrisha kuuawa kwa makafir, hiyo dini mjipange upya.
notes_IMG_20220821_224733.png
 
Ukitaka kujua hao ni watu wa dini au la, soma maandishi kwenye bendela yao. Yameandikwa haya maneno kwenye Bendela yao.

لا اله الا الله محمد رسول الله

Anayetaka kujua maana yake anaweza pata tafsiri toka Google translate.

Mi nafichua kidogo tu yanasema.

Hakuna Mungu isipokuwa.............
Na............ni mtume wake.
Sijataja dini yoyote hapa
 
Back
Top Bottom