Somalia: Girl stoned was a child of 13

Somalia: Girl stoned was a child of 13

ow...ooh okay, nasikia nchi zote zilizojiunga na IOC sasa zinafuata sharia na watu kadhaa wameshakuwa stoned to death!!??? na nchi hizo zote zimekuwa declared Islamic States, sijui nilidanganywa baba mchungaji?

Hapa mama yangu sitii neno maana ni mtego.
Ila ushauri wangu kwako na kwa akina mama wote mnaofuata hii 'dini' isusieni ili msipigwe mawe hadi kufa.
 
Hapa mama yangu sitii neno maana ni mtego.
Ila ushauri wangu kwako na kwa akina mama wote mnaofuata hii 'dini' isusieni ili msipigwe mawe hadi kufa.


mmh baba mchungaji na huo unaowapa hao wanawake ni mtego pia, sidhani kama watatia neno ila wamekusikia.
 
Kama ulikuwepo tatizo kubwa hapa ni hizo tamaduni za kiarabu. Kwa mfano zile za Iran ndio kabisaa, maana wafarsi na jamii hizo wanatamaduni tofauti kabisa na waarabu. Uislam stands kama ulivyo na uarabu kama ulivyo, so do Farsi na uswahili.

Wapo wanaoijua kwa undani na it is very interesting when you meet someone who knows the real Islam.

Mama hapa umeniacha kidogo,
Ningependa kujua tofauti kati ya Uislam na tamaduni za kiarabu.
Maana mie ninaonaga kuwa ni kitu kimoja tu,
sijaona muislam mwenye jina la kibantu, majina yote ya waislam marafiki wangu pamoja na wengineo ninaowajua ni ya kiarabu.
(Kama lile jina yule mama muingereza alimuita mdoli, kidogo anyongwe hapo sudani).
 
Mama hapa umeniacha kidogo,
Ningependa kujua tofauti kati ya Uislam na tamaduni za kiarabu.
Maana mie ninaonaga kuwa ni kitu kimoja tu,
sijaona muislam mwenye jina la kienyeji, majina yote ya waislam marafiki wangu pamoja na wengineo ninaowajua ni ya kiarabu.
(Kama lile jina yule mama muingereza alimuita mdoli, kidogo anyongwe hapo sudani).

Baba Mchungaji, mimi naitwa mama Mtombolaga. Labda kwako nitakuwa wa kwanza mwenye jina la kienyeji. Baba Mchungaji Uislamu ni dini ambayo kwayo ina mambo yaliyoamrishwa na kukatazwa kufanywa kwa anayekubali kuwa muislam. Uislam ni dini ambayo uhusiano wa muumin na Muumba wake ni direct, yaani haikupasi kupitisha maombezi kwa mtu mwingine, Mungu wako ndiye msaidizi wako, kiongozi, mlinzi na mambo kama hayo.

Baba mchungaji, Uarabu ni race kama ulivyo Uafrika, so sio lazima Muarabu awe Muislam au Muarabu ndio anayeujua sana Uislam au ndiye Muislamu sana. Waarabu nao wana makundi ya kijamii kama vile tulivyo Waafrika, ni kwamba tu sie tuna makundi mengi zaidi.

Mimi sio mjuzi wa mambo ya dini kabisaaa baba mchungaji, kama kuna ambacho hujaelewa utauliza na utajibiwa na wenye elimu.
 
Baba Mchungaji, mimi naitwa mama Mtombolaga. Labda kwako nitakuwa wa kwanza mwenye jina la kienyeji. Baba Mchungaji Uislamu ni dini ambayo kwayo ina mambo yaliyoamrishwa na kukatazwa kufanywa kwa anayekubali kuwa muislam. Uislam ni dini ambayo uhusiano wa muumin na Muumba wake ni direct, yaani haikupasi kupitisha maombezi kwa mtu mwingine, Mungu wako ndiye msaidizi wako, kiongozi, mlinzi na mambo kama hayo.

Baba mchungaji, Uarabu ni race kama ulivyo Uafrika, so sio lazima Muarabu awe Muislam au Muarabu ndio anayeujua sana Uislam au ndiye Muislamu sana. Waarabu nao wana makundi ya kijamii kama vile tulivyo Waafrika, ni kwamba tu sie tuna makundi mengi zaidi.

Mimi sio mjuzi wa mambo ya dini kabisaaa baba mchungaji, kama kuna ambacho hujaelewa utauliza na utajibiwa na wenye elimu.

Asante kwa ufafanuzi Mama Mtombolaga
Nimeelewa bayana.
 
Baba Mchungaji, mimi naitwa mama Mtombolaga. Labda kwako nitakuwa wa kwanza mwenye jina la kienyeji. Baba Mchungaji Uislamu ni dini ambayo kwayo ina mambo yaliyoamrishwa na kukatazwa kufanywa kwa anayekubali kuwa muislam. Uislam ni dini ambayo uhusiano wa muumin na Muumba wake ni direct, yaani haikupasi kupitisha maombezi kwa mtu mwingine, Mungu wako ndiye msaidizi wako, kiongozi, mlinzi na mambo kama hayo.

Baba mchungaji, Uarabu ni race kama ulivyo Uafrika, so sio lazima Muarabu awe Muislam au Muarabu ndio anayeujua sana Uislam au ndiye Muislamu sana. Waarabu nao wana makundi ya kijamii kama vile tulivyo Waafrika, ni kwamba tu sie tuna makundi mengi zaidi.

Mimi sio mjuzi wa mambo ya dini kabisaaa baba mchungaji, kama kuna ambacho hujaelewa utauliza na utajibiwa na wenye elimu.

Mimi naomba unielimishe kidogo
Sasa hiyo sharia imo ktk quran ama ni sharia ya waarabu tu,ama ktk sharia hicho kipengele cha kuwapiga mawe kimeongezwa kwenye sharia za waarabu? Lakini kama ni hivyo mbona wasomali sio waarabu wamekitoa kifungu hicho wapi maana nimeona yule anajiita shekh anasema biti alifurahi kuadhibiwa kwa mjibu wa quran.

Pili kusuhusu maombi umeongea kwamba ni kati ya Mungu na mtu husika ,sasa swali ni je? maombi yanakubalika tu kwa lugha ya kiaarabu? kwa namna nyingine je? Mungu anafahamu lugha ya kiarabu tu zingine hazifahamu na ndio maana ukiomba kwa kiswahili hamtaelewana??
 
Mimi naomba unielimishe kidogo
Sasa hiyo sharia imo ktk quran ama ni sharia ya waarabu tu,ama ktk sharia hicho kipengele cha kuwapiga mawe kimeongezwa kwenye sharia za waarabu? Lakini kama ni hivyo mbona wasomali sio waarabu wamekitoa kifungu hicho wapi maana nimeona yule anajiita shekh anasema biti alifurahi kuadhibiwa kwa mjibu wa quran.

Pili kusuhusu maombi umeongea kwamba ni kati ya Mungu na mtu husika ,sasa swali ni je? maombi yanakubalika tu kwa lugha ya kiaarabu? kwa namna nyingine je? Mungu anafahamu lugha ya kiarabu tu zingine hazifahamu na ndio maana ukiomba kwa kiswahili hamtaelewana??

Baba Mchungaji, mimi naitwa mama Mtombolaga. Labda kwako nitakuwa wa kwanza mwenye jina la kienyeji. Baba Mchungaji Uislamu ni dini ambayo kwayo ina mambo yaliyoamrishwa na kukatazwa kufanywa kwa anayekubali kuwa muislam. Uislam ni dini ambayo uhusiano wa muumin na Muumba wake ni direct, yaani haikupasi kupitisha maombezi kwa mtu mwingine, Mungu wako ndiye msaidizi wako, kiongozi, mlinzi na mambo kama hayo.

Baba mchungaji, Uarabu ni race kama ulivyo Uafrika, so sio lazima Muarabu awe Muislam au Muarabu ndio anayeujua sana Uislam au ndiye Muislamu sana. Waarabu nao wana makundi ya kijamii kama vile tulivyo Waafrika, ni kwamba tu sie tuna makundi mengi zaidi.

Mimi sio mjuzi wa mambo ya dini kabisaaa baba mchungaji, kama kuna ambacho hujaelewa utauliza na utajibiwa na wenye elimu.


Kama unataka nikudanganye tell me to proceed. Okay?
 
Lazima tukubali kuwa yanayotokea Somalia ndio uislamu original ambao prophet of allah aliufundisha na kuuishi.

Kuna hoja za wanaojaribu kuficha ukweli na kujaribu kupotosha kwa kusema , 'uislamu ni dini ya amani', 'uislamu sio kukatana mikono' na kadhalika, lakini wanajua fika kuwa Usama bin Laden, Abu Musab al Zarqawi (may he burn in Hell) and co are true incarnates of the holy prophet.

Tuache unafiki..
 
In the OIC one article says.
"Each member state shall observe and practice Islamic culture"

Sasa kwa Tanznia haya ndiyo tunayoyataka naomba Muislamu yeyote asijute kuhusu hili la huyu mtoto kuuawa kwa mawe mengi kiasi hicho, maana ndicho mnachokitaka. Kuna muda ukifika ili hukumu kama hii isikupate Muislamu ataukana Uislamu wake ili kuokoa maisha yake.
 
Panua uelewa wako hapa tafdhali:


[media]http://uk.youtube.com/watch?v=0XggTTnXfSI&feature=related[/media]
 
Fuatilia hiki kisa cha Asmaa bint Marwan who used to critisize Islam:

When the apostle heard what she had said he said, "Who will rid me of Marwan's daughter?" Umayr b. Adiy al-Khatmi who was with him heard him, and that very night he went to her house and killed her. In the morning he came to the apostle and told him what he had done and he [Muhammad] said, "You have helped God and His apostle, O Umayr!" When he asked if he would have to bear any evil consequences the apostle said, "Two goats won't butt their heads about her", so Umayr went back to his people.
Now there was a great commotion among B. Khatma that day about the affair of bint [girl] Marwan. She had five sons, and when Umayr went to them from the apostle he said, "I have killed bint Marwan, O sons of Khatma. Withstand me if you can; don't keep me waiting." That was the first day Islam became powerful among B. Khatma; before that those who were Muslims concealed the fact. The first of them to accept Islam was Umayr b. Adiy who was called the "Reader", and Abdullah b. Aus and Khuzayma b. Thabit. The day after Bint Marwan was killed the men of B. Khatma became Muslims because they feared for their lives." (From Ibn Ishaq's "Sirat Rasul Allah" - Biography of the Prophet of Allah - the oldest and primary biography of Muhammad).


Baada ya hapo napendekeza uende hapa : Excuses and explanations relating to the death of Asma bint Marwan: ili uone excuses zinazotelewa na wapendwa 'wanyenyekevu' kuhusiana na mauaji haya ya kutisha ya huyu mama mshairi.

Kaazi kwelikweli..
 
Naona mnako taka muelekee siko.
Watu wata andamana si mnajua lakini?
 
Sahih Bukhari V4 #464

The Prophet said, "I looked at Paradise and found poor people forming the majority of its inhabitants; and I looked at Hell and saw that the majority of its inhabitants were women."
 
Abu Dawud B2 #703:

Qatadah said: I heard Jabir ibn Zayd who reported on the authority of Ibn Abbas; and Shu'bah reported the Prophet (peace_be_upon_him) as saying: A menstruating woman and a dog cut off the prayer
 
Sahih Bukhari V4 B52 #110:


I heard the Prophet saying. "Evil omen is in three things: The horse, the woman and the house."
 
Sahih Muslim B8 #3240 :

Jabir reported that Allah's Messenger (may peace be upon him) saw a woman, and so he came to his wife, Zainab, as she was tanning a leather and had sexual intercourse with her. He then went to his Companions and told them: The woman advances and retires in the shape of a devil, so when one of you sees a woman, he should come to his wife, for that will repel what he feels in his heart.
 
Sahih Bukhari B62 #121 :

The Prophet said, "If a man Invites his wife to sleep with him and she refuses to come to him, then the angels send their curses on her till morning."
 
Sahih Bukhari V9 B89 #303 :

A bedouin came and said, "O Allah's Apostle! Judge between us according to Allah's Book (Laws)." His opponent stood up and said, "He has said the truth, so judge between us according to Allah's Laws." The bedouin said, "My son was a laborer for this man and committed illegal sexual intercourse with his wife. The people said to me, 'Your son is to be stoned to death,' so I ransomed my son for one hundred sheep and a slave girl. Then I asked the religious learned men and they said to me, 'Your son has to receive one hundred lashes plus one year of exile.' " The Prophet said, "I shall judge between you according to Allah's Book (Laws)! As for the slave girl and the sheep, it shall be returned to you, and your son shall receive one-hundred lashes and be exiled for one year. O you, Unais!" The Prophet addressed some man, "Go in the morning to the wife of this man and stone her to death." So Unais went to her the next morning and stoned her to death.


Double standards!!
 
Sahih Bukhari V8 B82 #803 :

from 'Ali when the latter stoned a lady to death on a Friday. 'Ali said, "I have stoned her according to the tradition of Allah's Apostle."
 
Abu Dawud B38 #4442 :

I met my uncle who was carrying a standard. I asked him: Where are you going? He said: The Apostle of Allah (peace_be_upon_him) has sent me to a man who has married his father's wife. He has ordered me to cut off his head and take his property.
 
Back
Top Bottom