Ladslaus Modest
JF-Expert Member
- Jun 27, 2008
- 635
- 27
ow...ooh okay, nasikia nchi zote zilizojiunga na IOC sasa zinafuata sharia na watu kadhaa wameshakuwa stoned to death!!??? na nchi hizo zote zimekuwa declared Islamic States, sijui nilidanganywa baba mchungaji?
Hapa mama yangu sitii neno maana ni mtego.
Ila ushauri wangu kwako na kwa akina mama wote mnaofuata hii 'dini' isusieni ili msipigwe mawe hadi kufa.