Umoja ni nguvu kivipi ?Umoja ni nguvu..
Elezea utafaidika vipi na ki nchi unstable and ungovernable kinatafuta kujiegemeza kwenye jumuiya kipate security and stability support na maeneo ya kupeleka wakimbizi.
And whats the endgame, mtakuwa African Community ya Afrika nzima ? Tofauti yake na AU ni nini? Faida yake nini ?