Somalia restores diplomatic relations with Kenya

wacha nkuambie,Usilinganishe local Rebels na International terrorist Kama Alshaabab wenye wako ready kujilipua.Hao wa Mozambique ata hawana ujuzi,Ni rebel ya Juzi and is a local militia.
Wanapigana na vijana ambao jioni wanataka warudi kula sembe kwao, hawataki kufa wale madogo. Alshabab ndio raha yake kufa!
 
Mbona hawaingii Uganda au Burundi? Na Djibouti na Ethiopia je? They choose your glorified shit hole country because they find you weak.
 
Mbona hawaingii Uganda au Burundi? Na Djibouti na Ethiopia je? They choose your glorified shit hole country because they find you weak.
If they are Brave si waseme tu mahali watakuwa before hawajafika ambapo watavamia,Hapo ndipo watajua hawajui,Game yao Ni kuingiza mkia katikati na kujificha Kama Paka,Kisha wanalipua watu.Na unatetea Alshaabab sana maybe you are one of them!🧐
 
Mbona hawaingii Uganda au Burundi? Na Djibouti na Ethiopia je? They choose your glorified shit hole country because they find you weak.
Hawawezi Fika hukowatakuwa wameshikwa,Alafu Kwani Hizo inchi umetaja hazija border Somalia,except Ethiopia.Alshaabab are just scared kwa Venye Tunawafanya huko Somalia,Ndio maana wanajificha na kulipua watu kiholela.Wanacheza Game ya Cat and Mouse
 
Hawawezi Fika hukowatakuwa wameshikwa,Alafu Kwani Hizo inchi umetaja hazija border Somalia,except Ethiopia.Alshaabab are just scared kwa Venye Tunawafanya huko Somalia,Ndio maana wanajificha na kulipua watu kiholela.Wanacheza Game ya Cat and Mouse
Hujielewi wewe..
 
Which truth!? Do you know the truth?
The Truth is that TZ want Kenya tu be a shit hole like Yemen,Tupigwe mujibugie Kahawa Chungu mukiona Movie ya Kenya ilivyosambaratika.Nyinyi si marafiki wa kweli,you are a Pain in the Ass😳
 
Mbona hawaingii Uganda au Burundi? Na Djibouti na Ethiopia je? They choose your glorified shit hole country because they find you weak.
During magufulis burial I had the chance to watch tpdf ,their drills are comical they cannot matchup to kdf professionalism.Alafu sijui kwanini mnawekanga jets zenu kwa "store " wakati at least mngepiga flypast (Missing man formation) iwe salute ya mwisho kwa jiwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…