aisee sidiria kwanini?Hii. maeufuku ipo tangu 2013 huko..sambusa hazipikwi
Na mwanamama ole wako uvae sidiria
Haya yapo maeneo wanapotawala alshabab
Al Shabab wamepiga marufuku kutengeneza na kula sambusa - Somalia . Hii ni kutokana ina shape ya pembe tatu , yaani ni kiwakilishi cha Ukristo(Utatu Mtakatifu/Trinity)
Hichi kitu kimenishangaza kwa nini kisibadilishwe umbo la duara au mstatili , badala ya kuwanyima watu kitafunwa wanachokipenda kisa ujinga walio nao kichwani. Au ndo udogo wa kufikiri?
View attachment 2473792
Watengeneze tu hizo sambusa na wazile,ispokua wabadilishe muundo tu,ila ingredients ziwe zilezileAl Shabab wamepiga marufuku kutengeneza na kula sambusa - Somalia . Hii ni kutokana ina shape ya pembe tatu , yaani ni kiwakilishi cha Ukristo(Utatu Mtakatifu/Trinity)
Hichi kitu kimenishangaza kwa nini kisibadilishwe umbo la duara au mstatili , badala ya kuwanyima watu kitafunwa wanachokipenda kisa ujinga walio nao kichwani. Au ndo udogo wa kufikiri?
View attachment 2473792
Huo upumbavu wa alshabaab waulize wanautoa wapi kwenye uislamu hakuna mambo kama hayo.Hii imani inafikirisha sana
Kama ni kweli,basi alshabab hawana akili.Al Shabab wamepiga marufuku kutengeneza na kula sambusa - Somalia . Hii ni kutokana ina shape ya pembe tatu , yaani ni kiwakilishi cha Ukristo(Utatu Mtakatifu/Trinity)
Hichi kitu kimenishangaza kwa nini kisibadilishwe umbo la duara au mstatili , badala ya kuwanyima watu kitafunwa wanachokipenda kisa ujinga walio nao kichwani. Au ndo udogo wa kufikiri?
View attachment 2473792
Hesabu Za maumbo kumbe husomeshwa kanisani?Hili ndo tatizo la kutopenda hesabu za maumbo