Somalia wapiga marufuku Sambusa

Somalia wapiga marufuku Sambusa

Al Shabab wamepiga marufuku kutengeneza na kula sambusa - Somalia.

Hii ni kutokana ina shape ya pembe tatu, yaani ni kiwakilishi cha Ukristo (Utatu Mtakatifu/Trinity)

Hichi kitu kimenishangaza kwa nini kisibadilishwe umbo la duara au mstatili, badala ya kuwanyima watu kitafunwa wanachokipenda kisa ujinga walio nao kichwani.

Au ndio udogo wa kufikiri?

Source : Somali Extremist Group Bans Samosas in Country

View attachment 2473792
Je! huu ujinga ni mafundisho ndani ya dini ya Kiislamu? maana hata kujitoa muhanga ili uende peponi ni mafundisho pia.
 
Shida ya hawa wavaa kobazi huwa kuanzia mkuu wa kikosi hadi mgambo wake wanakuwa ni zero academia. Yaani hawana analojua hata kuhusu maumbile ya vitu.

Hawa mabwege wangekuwa wamekaa darasani hata hizi fujo zao wasingefanya. Sasa wamebakia kufanya fujo tu na mapumbu yao kama korosho.
 
Back
Top Bottom