Somalia wapiga marufuku Sambusa

Somalia wapiga marufuku Sambusa

Anadai ameona maono ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Muhammad alidai amepigwa na nani pangoni ?

Sijakujibu maana najishusha kwenye ununda wako na nahofia akili yangu itadumaa

Hebu tuangalie ono la Paulo anapolielezea kwa watu mbalimbali tofauti wa rangi tofauti.


1. Katika MATENDO 9:3, imeelezwa kwamba ni Paulo pekee aliyeanguka chini alipoona mwanga. Mstari wa 7 unasema kwamba wengine pamoja naye walisimama bila la kusema.


2. MATENDO 26:14 inasema WOTE walianguka chini.


3. MATENDO 9:7 inasema kwamba watu waliosafiri pamoja na Paulo hawakumwona mtu bali walisikia sauti.


4. MATENDO 22:9 inasema wale waliokuwa pamoja na Paulo waliona nuru lakini HAWAKUsikia sauti ya msemaji.

Hayo hapo juu ni mikanganyiko ya wazi na mtu ye yote angemkataa Paulo mara moja baada ya kusoma mistari hii.
Ikiwa huu ni uwongo wa wazi tu na Paulo amesahau aliposema nini, basi si kitu zaidi ya ujinga wake lakini ikiwa anatumia mbinu hii kwa makusudi kusimulia hadithi tofauti kwa watu tofauti, basi mbinu hii bado iko.

Mbinu kama hiyo imeweka msingi muhimu sana wa Kanisa, i.e. kupitisha njia inayomfaa mtu.

Sikukuu kama Krismasi; Halloween n.k hazina uhusiano wowote na Ukristo lakini Kanisa limewaingiza humo kwa kufuata nyayo za Paulo.

"Lakini na iwe hivyo, lakini sikuwalemea, kwa vile nilivyokuwa mwerevu, NILIKUSHIKEA KWA HILA."

( 2 WAKORINTHO 12:16 )


... na kwa hayo, anadanganya tena,


1 Thes. 2:3


"Kwa maana rufaa tunayotoa haitokani na makosa au nia chafu, wala hatujaribu kuwahadaa."
"Nasema kweli katika Kristo, sisemi uongo"

( Rum. 9:1, 1 Tim. 2:7 )


Paulo ameanzisha dhana hii ya kubadilika badilika katika Ukristo na Kanisa.

Aya hii pia inaelezea kuwepo kwa tovuti ya Answering-Islam na maeneo mengine yanayofanana na hayo ya chuki ambapo wanadanganya watu na bado wanafuata dini yao.

Wanadanganya na kusema kwamba hawampendi tu mwanzilishi wao Paulo.
 
Ukiona wanafanya ambush basi ujue hiko kijiji kimepelekewa uislam na kuambiwa kitawaliwe na sharia kikakataa.
Au ni maadui wa waislam wanatuma wanajeshi wao kupambana na alshabab.

Kama kuna waislam wanaishi kwenye maeneo ya hivo ni wanafiq kwasababu wamekubaliana kutawaliwa na makristo (eg.Kenya) na hawafanyi jihad yoyote ya kuipinga hiyo serikali ili kuruhusu uislam wa kweli uingie...na walio pamoja na makafir kwa ndani halafu nje wanajifanya waislam kwenda msikitini, Hao sio waislam bali ni wanafiq
Muislam wa kweli lazma afanye jihad, hawezi kukubali kutawaliwa na mkristo.
Ndomaana Muhamad(saw) alipambana na wenyeji wake waliomkuza wa makka.
Aliwaua, aliwafanyia ambush kwenye misafara yao ya biashara, akawaibia mali zao ili kuwadhoofisha kiuchumi mpaka akafanikiwa kuiteka Makka.

Ukijisalimisha kwa Alshabaab na ukaachana na unafiq au ukafir, Hawakuui wanakuchukua na kukustir
kwa maana hiyo mudi ni jangili,mwivi(mwizi),muuaji...

sasa mtume gani kibaka na mwizi wa mali za watu?
 
Al Shabab wamepiga marufuku kutengeneza na kula sambusa - Somalia.

Hii ni kutokana ina shape ya pembe tatu, yaani ni kiwakilishi cha Ukristo (Utatu Mtakatifu/Trinity)

Hichi kitu kimenishangaza kwa nini kisibadilishwe umbo la duara au mstatili, badala ya kuwanyima watu kitafunwa wanachokipenda kisa ujinga walio nao kichwani.

Au ndio udogo wa kufikiri?

Source : Somali Extremist Group Bans Samosas in Country

View attachment 2473792
Hawa alshabaab ni Kama Taliban wanageuza dini Kama Yao akati sambusa zilikua zikipikwa hata kipindi cha mitume na maulamaau.
Ufinyu wa fikra unawapoteza mm ni muislam Ila hawa jamaa siwaesabii km waislam sahihi wanakosea Sana.
 
kwa maana hiyo mudi ni jangili,mwivi(mwizi),muuaji...

sasa mtume gani kibaka na mwizi wa mali za watu?
Kaka ngoja nikuweke Sawa na nimsahihishe huyo jamaa.
Somalia hakuna jihad kuna mauaji.
Na Somalia wanapigania utawala wala hawapiganii dini,Bali kila kabila linapigana ili liwe mtawala wa Somalia hivyo hizo ni vita za ukabila.
Halafu jihad kwetu waislam inapiganwa kutetea wanyonge na haipiganwi na jeshi na raia Bali jeshi na jeshi ili kupinga utawala wa kiovu na sharti zake usiue watoto ,wanawake na wazee,usiharibu Mali na miji au vijiji ndio maana zilikua zikipiganwa ktk viwanja maalum.
HAKUNA JIHAD ILIOPIGANWA KULAZIMISHA WATU KUWA WAISLAM HUYO JAMAA HAJUI KITU.
BALI JIHAD ZILIPIGANWA KUVUNJA TAWALA ZA KIOVU NA KUUKARIBISHA USTAARABU WA KIISLAM AMBAO NI HAKI,UHURU WA KUABUDU,UPENDO KWA KILA TABAKA NA AMANI.
NI DHAMBI MUISLAM KULAZIMISHA MTU AFATE UISLAM.
NA MTUME HAKUFANYA HIVYO.
ALSHABAAB WANAUA MPK WATOTO AKATI NI KITU AMBACHO HAKIPO KTK JIHAD NA HAKIKUFANYWA KABLA.
VITA ZA SOMALIA NI ZA UKABILA ZILIZOVAA MGONGO WA DINI.
 
Kaka ngoja nikuweke Sawa na nimsahihishe huyo jamaa.
Somalia hakuna jihad kuna mauaji.
Na Somalia wanapigania utawala wala hawapiganii dini,Bali kila kabila linapigana ili liwe mtawala wa Somalia hivyo hizo ni vita za ukabila.
Halafu jihad kwetu waislam inapiganwa kutetea wanyonge na haipiganwi na jeshi na raia Bali jeshi na jeshi ili kupinga utawala wa kiovu na sharti zake usiue watoto ,wanawake na wazee,usiharibu Mali na miji au vijiji ndio maana zilikua zikipiganwa ktk viwanja maalum.
HAKUNA JIHAD ILIOPIGANWA KULAZIMISHA WATU KUWA WAISLAM HUYO JAMAA HAJUI KITU.
BALI JIHAD ZILIPIGANWA KUVUNJA TAWALA ZA KIOVU NA KUUKARIBISHA USTAARABU WA KIISLAM AMBAO NI HAKI,UHURU WA KUABUDU,UPENDO KWA KILA TABAKA NA AMANI.
NI DHAMBI MUISLAM KULAZIMISHA MTU AFATE UISLAM.
NA MTUME HAKUFANYA HIVYO.
ALSHABAAB WANAUA MPK WATOTO AKATI NI KITU AMBACHO HAKIPO KTK JIHAD NA HAKIKUFANYWA KABLA.
VITA ZA SOMALIA NI ZA UKABILA ZILIZOVAA MGONGO WA DINI.
Kama ww ni muislamu basi dini Yako unaitendea haki
 
Waislamu wengi wa kiafrika hawaijui Quran wala lugha inayotumika kwenye Quran.
Hawawezi kuweka aya za Quran hapa kwasababu hajui Quran wala hajui lugha ila atakimbilia kwenye Biblia kwasababu anaielewa.
Huyu ukimwambia akuhubirie ili uslimu 99% ya maneno yake yatatoka kwenye Biblia na 1% yatatoka kwenye Quran ndiyo maana waislamu wengi wapo hasa kwa sehemu alizokaa mwaarabu. Na umeshindwa kusambaa kwasababu maneno yote atakayohubiria 99% yatatoka kwenye Biblia.
Hapa angeweka aya za Quran zinazopinga utumwa ningemwelewa sana.
Uislamu haujitoshelezi wala haujitegemi pasipo kuigusa Biblia

 
Daaaah ila ni sheria ni kuzifuata tu hamna namna hata Sasa hivi Tanzania yaweza kupiga marufuku kitu chochote but pia suala la sambusa si wanabadilisha shape tu jamani

Haiwezekani kwa Tanzania maana haiongozwi kwa uzombi wa kidini.
 
Umetoka kifungoni , sasa uwe na adabu

Adhabu muuwe nazo nyinyi , kufungiwa nimefungiwa sana tu kwa kuwapa ukweli. Haya nigungieni tena

,Miafrika ikiuza Miafrika myenzao, ona mwenyewe.Kila siku waarabu walituuza kumbe Miafrika ikiuzana pia

 
Waislamu wengi wa kiafrika hawajui Quran kwasababu ya lugha.
Huyu mifano yote ameitoa kwenye biblia. Angeaonyesha kwa mifano kuwa kwenye Quran hakuna jambo hilo, Ningemuelewa sana.
Huwa napata wakati mgumu sana kujua hawa watu kama wanaelewa Quran vilivyo.
Hata maandiko yao hapa JF utayakuta yale ya Rest in peace, najuni sijui nini lkn mambo mengine kuhusu yaliyoandikwa kwenye Quran hakuna.
Wewe ungekuwa mjumbe mzuri sana kwa kuelezea Quran ilivyokuwa nzuri lkn umeishia kwenye Biblia.
Cha ajabu na kinachosikitisha huyu Yesu ambaye humtambui lkn Quran inamtabua kama nabii issa lkn kwa sababu hamjui lugha mnafikiri Yesu wa kwenye Biblia na kwenye Quran ni yule yule.
Muislamu ukimwambia mimi ni mkristo nihubirie ili nisilimu. Hapo ataanza kuikosoa Biblia, atatoa mifano mingi ya kwenye Biblia 99% na Quran 1% anamalizia kukuambia ni dini ya haki. Unashangaa hawa watu wanaelewa au wamekaririshwa?
Hongera sana kwa kuisoma Biblia, hii inaonesha unaisoma na kuikubali sana Biblia kuliko Quran. Kinachokufanya usiisome Quran ni kwasababu huijui lugha ya kiarabu. Bila kujua lugha ya Kiarabu huwezi kusali wala kwenda peponi lakini kwetu Mungu wetu anajua lugha zote.

Umeiweka vizuri sana, thanks.
 
Nimekuwekea video Sikiliza maneno ya wataalamu wa historia walioajiriwa na serikali kuhudumia watalii

Nani atakubali kuuzwa kirahisi na mwarabu ,Kumbe Miafrika ikikamatana ikiuzana Kama biashara ya unga ilivyo Sasa. Kila mtu akiifanya

Miafrika nayo ikikamatana na kuuzana pengine myengine ikijipeleka yenyewe Kama hii inayojipeleka kwa wachungaji kwenda kufa

 
Uslam una kitu kinachoitwa christophobia yani wanauogopa sana ukristo mana ukristo ukiingia katika jamii zao basi wengi watauacha uislam na misikiti kubaki magofu.
Ndio maana Pemba wananandamana kupinga ujenzi wa Kanisa.
Sasa nime elewa.
 
Back
Top Bottom