Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,017
- 16,431
Laurent KabilaNa sio huko tu............View attachment 1639430
Ukimjua huyo ndo utajua Tanzania kwenye huu ukanda kwanini anaheshimika tofauti, na nyie walamba makobazi ya mabeberu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Laurent KabilaNa sio huko tu............View attachment 1639430
Ukimjua huyo ndo utajua Tanzania kwenye huu ukanda kwanini anaheshimika tofauti, na nyie walamba makobazi ya mabeberu
Malikia Elizabeth alikuwa malikia akiwa Kenya.namna wanavyokitukuza kiingereza,ndivyo jinsi wameacha historia za mtu mweusi mwenzao na kukomaa kushoboka na waingereza.
hapo ukimuuliza akutajie mchepuko wa malikia elizabeth anaujua[emoji1787][emoji1787].
Malikia Elizabeth alikuwa malikia akiwa Kenya.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], kumbe umeliona hilo. Wale jamaa wanahisi wao ndio wanapendwa na wazungu kuliko waafrika wote. Basi wazungu nao wamegundua nature yao ya kupenda kusifiwa sifiwa na kutaka symbolism. So wanawatumia wakenya against african leaders ambao ni wazalendo. Kenyans are pure puppetere. They love being arround with muzunguzKenya wanajikuta wao Ni USA ya Africa, Mara huku kwetu wapandikize Kigogo...Mara Kule sijui nani hivyo Sana Hawa watu.
Fungua machoLaurent Kabila
Hao wengine siwajuiFungua macho
Kweli fumbo mfumbie mjinga......nyie komaeni na uchumi wa bepari tu, huku maji marefu kwenu...umetoka kapa.....Hao wengine siwajui
Nimefungua uzi sasa hivi kuhusu jambo hili la kupigania uhuru. Kenya tumepigania uhuru wetu na nyie mlipewa uhuru wenu bure bila kumwaga damuKweli fumbo mfumbie mjinga......nyie komaeni na uchumi wa bepari tu, huku maji marefu kwenu...umetoka kapa.....
Hata hao waliopigania uhuru maumau mkawageuka taifa la kusnitchNimefungua uzi sasa hivi kuhusu jambo hili la kupigania uhuru. Kenya tumepigania uhuru wetu na nyie mlipewa uhuru wenu bure bila kumwaga damu
Nyie wajinga sana. Kama nyie ni wakombozi wa Afrika mbona hamkuikomboa Kenya kutoka kwa mabeberu? Mabeberu waliua Wakenya karibia laki moja wakati wa state of emergency 1952 wakati wanapigana na Mau mau. Wamama na watoto wakapelekwa kwenye concentration camp ambapo wengi walikufa kwa njaa kwa sababu beberu alikataa kuwapa chakula. Wanaume walipelekwa gerezani na kuteswa na kuuawa. Hata nchi ya uingereza imeomba msamaha kwa ushetani waliotufanyia na kutoa pesa kama fidia. Mbona nyie hamkutusaidia? Mbona sisi tulijipigania uhuru wenyewe na kufa kwa wingi ili tupate uhuru? Hakuna nchi yoyote ya Afrika iliyotusaidia kupata Uhuru. So nyamazeni nyie ni wapumbavu kabisa. Hata hamkupigania uhuru wenu mlipewa bure. We don't owe you anything. Hatuna deni lenu maana nyie hamkutusaidia.
Hata huyo balozi ambae wanamtimua haishi Mogadishu yeye anaishi Nairobi.Hata sio hivyo pekee, serikali zao nyingi zimeundwa pale Nairobi.
Jifunzeni kuishi kwa amani na majirani zenu, kwanini mnagombana na majirani zenu karibu wote?Hata huyo balozi ambae wanamtimua haishi Mogadishu yeye anaishi Nairobi.