Mbona sasa hv hawaisaidii hyo kenya kupambana na shababy
Mbona hao Marafiki zenu hawakuja kusaidia kuwapatanisha mlipochinjana mwaka 2007, ni Kikwete ndiye aliyekija na idea ya prime minister akapatikana Raila na serikali ya nusu mkate?.Hakuna usaidizi mnaeza tupea,kusema ukweli,n btw we dont need you,kenya got so many allies that can help it incase need arise,pole bro
Kwaiyo inamaana hata jeshi lenu hamliamini mpaka muwategemee USA na UK? Sasa inamaana wanakula Tu mishahara ya bure,?Hahaha this case is diffrent usisahau somali is a muslim nation,n muslim wanachukiwa US na Uk hata ni karibu kila mahali to be specific muslim wasomali,so hakuna siku hata moja US itawai shikana na Somali,kwanza huko US wanachukiwa sana na si huko pekee pia huku hatuwapendi hata kidogo juu wametuletea shida mingi sana,usisahau kenya is a christian nation na pia chini ya maji si huwa na support ya Israel ka ujui so ni hard na hata waharabu wanabebanga tu wasomali ujinga juu ya dini yao hufanya wa arabu wakae miungu na somali ka kuna nchi wanaabudu ni U.A.E lakini wanabebwa ujinga
Kwaiyo bila US mjiandae kuwa fucked? Wenzenu huku tunayaamini majeshi yetu kiasa tunaamini hata itokee vita yoyote tutapigana hata bila msaada ya yoyote?Hahaha this case is diffrent usisahau somali is a muslim nation,n muslim wanachukiwa US na Uk hata ni karibu kila mahali to be specific muslim wasomali,so hakuna siku hata moja US itawai shikana na Somali,kwanza huko US wanachukiwa sana na si huko pekee pia huku hatuwapendi hata kidogo juu wametuletea shida mingi sana,usisahau kenya is a christian nation na pia chini ya maji si huwa na support ya Israel ka ujui so ni hard na hata waharabu wanabebanga tu wasomali ujinga juu ya dini yao hufanya wa arabu wakae miungu na somali ka kuna nchi wanaabudu ni U.A.E lakini wanabebwa ujinga
Luanda gani mkuuUwepo wa Somaliland sijakataa lakini si nchi inayotambulika na Umoja wa Mataifa kama ilivyo Western Sahara, Zanzibar, Biafra, Luanda, Macau, Hong Kong, Gibraltar na Catalonia.
Maelezo yako mwanzo Mazur ila hapo mwisho ndio Umevuruga
Unatuingizaje sisi na upuuzi wao
Tusikubari lipi we jamaa Hatutaki Hayo mambo yalituletea Taabu miaka nenda rudi
Ya Ngoswe mwachie Ngoswe
Mkikuyu- Akili timamu Geza Ulole joto la jiwe
Je WaBongo wakiongozwa na uncle Magufuli watatuunga mkono tukivamiwa na hawa Wasomali ?? 😀😀
Hahaha this case is diffrent usisahau somali is a muslim nation,n muslim wanachukiwa US na Uk hata ni karibu kila mahali to be specific muslim wasomali,so hakuna siku hata moja US itawai shikana na Somali,kwanza huko US wanachukiwa sana na si huko pekee pia huku hatuwapendi hata kidogo juu wametuletea shida mingi sana,usisahau kenya is a christian nation na pia chini ya maji si huwa na support ya Israel ka ujui so ni hard na hata waharabu wanabebanga tu wasomali ujinga juu ya dini yao hufanya wa arabu wakae miungu na somali ka kuna nchi wanaabudu ni U.A.E lakini wanabebwa ujinga
Kama Jeshi ya Somalia limeshindwa Al shabab litaweza vita na Nchi nyingine? Acheni story jamani.Kiintelijensia Somaliland inashirikiana na kenya vita ya Alshababu ni tofauti kabisa na kinachoandaliwa hivi sasa ambayo itakuwa ni majeshi kwa majeshi
Mkuu maelezo yako yako vzr sana,umenifungua mengi khs Somaliland na SomaliMipaka ya somaliland NI ile iliowekwa na wakoloni na kubarikiwa OAU. Kaskazini inapaka na Djibouti magharibi Ethiopia na kusini na masshariki Somalia
Somaliland inatofautiana na Haina mahusiano yoyote ya kisiasa wa kiuchumi na Somalia.
De facto somaliland. Imefanya mengi makubwa kuijengaa nchi yao from zero kwani serikali ya Somalia ili tupia mabomu karibu nchi nzima
Walifanya hivyoo wapo mfano general Morgan yupo Kenya kanali Abdul Tukeyna wengine
Uhasama uliopo somaliland na Somalia NI mkubwa sana .Hii ni kwanii??
Ili somaliland itambuliwe kimataifa itahitajika kura ya maoni na utashi wa pande mbili lakini kwa Somalia hawataki kusikia Jambo Hilo
Hivyoo SOMALILAND imeeapa itakaa hivyoo Kama defacto wengine
Sent using Jamii Forums mobile app
Hell no u will be on ur own!Mkikuyu- Akili timamu Geza Ulole joto la jiwe
Je WaBongo wakiongozwa na uncle Magufuli watatuunga mkono tukivamiwa na hawa Wasomali ?? 😀😀
Wanayo passport yao mpaka Sasa inakubalika na Yemen, Zambia, UAE Djbout na Elitria ila wengi wanatumia pass ya Somali republicPasi gani ya kusafiria hutumika kwa Somaliland
Pamoja mkuuMkuu maelezo yako yako vzr sana,umenifungua mengi khs Somaliland na Somali
MTC | 101| [emoji769]
Kenya, South Africa,Uganda,Finland,UK.Ghana,South SudanWanayo passport yao mpaka Sasa inakubalika na Yemen, Zambia, UAE Djbout na Elitria ila wengi wanatumia pass ya Somali republic
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha this case is diffrent usisahau somali is a muslim nation,n muslim wanachukiwa US na Uk hata ni karibu kila mahali to be specific muslim wasomali,so hakuna siku hata moja US itawai shikana na Somali,kwanza huko US wanachukiwa sana na si huko pekee pia huku hatuwapendi hata kidogo juu wametuletea shida mingi sana,usisahau kenya is a christian nation na pia chini ya maji si huwa na support ya Israel ka ujui so ni hard na hata waharabu wanabebanga tu wasomali ujinga juu ya dini yao hufanya wa arabu wakae miungu na somali ka kuna nchi wanaabudu ni U.A.E lakini wanabebwa ujinga
Nikutekebishe kidogo mkuu, Kenya sio nchi ya Kikristo,
Pili, US don’t give a **** on whether christianity or Islam, Only Interests bro, Do you know that Saudi is Islamic Nation and a very close US allie?
And do you think US got no Interest in your Fight Against Al Shabaab? Open your eyes bro,