Mbona sasa hv hawaisaidii hyo kenya kupambana na shababy
Somaliland haisaidii Somalia kwa sababu Somalia imelea, imekuza na kuwafadhili maharamia kama sea pirates, AI shabaab, AlQaida, ISIS and ISIS sympathizers! Somalia wote ni Wa Islamu, wote ni dhehebu moja “SUNNI” ila cha ajabu wanapigana ukoo kwa ukoo, watoto wa shangazi na watoto wa mjomba, yaani kila kitu ni shagrabagra!sababu - hawataki kumuona Myahudi au Mkristu and remember where ever there is no Christianity definitely hakuna AMANI! Somaliland hawana matatizo hayo wala Puntland!