miminimama
JF-Expert Member
- Aug 2, 2018
- 696
- 1,818
Djimon Hounsou(huyu jamaa huwa nawaza mikono yake ikinikamata) na Morgan Freeman.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si bora ungeenda kwa Chriss Evans. Kweli wanawake hamtabiriki..
Kuna kipindi walionekan sana, wapo na Lupita. Ktk pozi za shaka, maswali yakaanza.
Yupi unamzungumizia katika hao wawili, kamilisha your reply.Kuna kipindi walionekan sana, wapo na Lupita. Ktk pozi za shaka, maswali yakaanza.
Wanakwanguana vocha ?Tessa na Lupita..
We una shida zako binafsi. Kwamba mwanaume hana macho na hawezi kujua kwamba mwanaume mwenzio ni attractive?Eti most atractive man[emoji9][emoji41]..
mwanaume unamwita mwenzako attractive hizo ni dalili za nini?
[emoji16] mboga saba mna shida sana..afu ukute wa Arusha
Huyu ni mwanaume wa jiji la bashite chuga hatuna watu kama hawa.Eti most atractive man[emoji9][emoji41]..
mwanaume unamwita mwenzako attractive hizo ni dalili za nini?
[emoji16] mboga saba mna shida sana..afu ukute wa Arusha
acha ushabiki wa kitu usicho kijua... Yani mwanaume uanze kumsifia mwenzako kwa uzuri wa muonekano.... Tena unasema eti huyu ndio mwanaume anaevutia kuliko wote duniani..... Khaaa...We una shida zako binafsi. Kwamba mwanaume hana macho na hawezi kujua kwamba mwanaume mwenzio ni attractive?
Na nikweli Chris Evans yupo vizuri sana.