Nimemiss michezo ya utotoni, kipindi hicho mtu hajali kuhusu maisha wala nini unawaza kula,kucheza,kulala na Kwenda Shule (KKKK/4K )
Basi hapa tukumbushane michezo ya utotoni kwa picha, Enzi hizo Dunia ikiwa ni Dunia
....
Hii ktu nimefanya sana..
View attachment 1409353
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuchezea mate ilikuwa ni tabia mbaya iliyokemewa mno na wazazi
Jr[emoji769]
Nilikua na hivi viatu vina picha ya spiderman Nilikua navivaa nikienda Sandei tu. Tuliita mtwangoHii picha inatia kinyaa Home boi
Umekosa picha Nzuri [emoji35]
.
Kuchezea mate ilikuwa ni tabia mbaya iliyokemewa mno na wazazi
Jr[emoji769]
Tulikua tunachukua nywele mtu akinyolewa halafu tunachukua utimvu wa Minyaa/Minyara tunabandika kidevuni eti ni ndevu..Zingine tunabandika huku chini eti tumeota[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23] Tukikosa nywele tunaweka nywele za mahindiNilikua napenda kucheza mziki wa bolingo,ikipigwa mziki wa Bongoman weeeeeeeeeee sio kwa mauno hayo.. [emoji1787] [emoji1787]
Hivi damu na kamasi ile chumvichumvi huwa vinaitoa wapi?
Nyie wazazi mnazingua bana sometimes kuna mtu alikua anatuchapa tukiimba "wapii Dar mpaka Moro"
Eti nimatusi kumbee..
Au ukifanya ulimi ukalia fyokofyokofyoko mdomoni wanatuchapa..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuchezea mate ilikuwa ni tabia mbaya iliyokemewa mno na wazazi
Jr[emoji769]
π π π πYaani umenichekesha mkuu..kuna mtu tumekua nae ndio ilikua kazi yake kuramba kamasi. Leo bishoo na mke wake
Sent using Jamii Forums mobile app
mimi nilikua na tabia ya kutemea watu maji niliyoweka mdomoni [emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna jamaa aliniambia niasame mdomo kwamba kuna kitu ameona halafu akanitemea mate mdomoni. Yule fala hadi leo sijamsamehe.mimi nilikua na tabia ya kutemea watu maji niliyoweka mdomoni [emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app