there are two lines of ethnicity. The pro Luo and Kikuyu. those tribes you mentioned are one of those two noble tribes.
this's is why you have GEMA thing and like.
We husaidiki. Tatizo lako Ni kuona kuwa umejua zaidi . Wajaluo ni namba 4 kkwa wingi. Rails amesimama kivyake na ako na support hata Kule kwa waluhya.
Usikatae ukweli uliodhahiri.Sijakataa role ya Kabila katika siasa. Kile ninachokuambia mabacho wengi wenu hamuelewi, ni kuwa kabila si kila kitu.
Waluhya ni wa pili kwa idadi baada ya wakikuyu; Jirongo ambye ni mluhya alipata kura ngapi?
Kaluyu ni mkamba, alipata kura ngapi za wakamba?
Ekuru Aukot ni Mturkana, alipata kura ngapi za waturkana?
Abdouba Dida ni msomali, alipata kura ngapi za wasomali na waislamu?
Wainanina ni mkikuyu, alipata kura ngapi za wakikuyu?
Ukijiuliza hayo maswali, ndiposa utaelewa sio eti kila kitu ni Ukabila kama mlivyoaminishwa
Do you think RAO don know that?Odinga is in a tight space, a space lived by his father ages ago.
Odinga went into a ballot duel that he simply could not win.
The unrecognised enemy affecting all Kenyans is tribalism, and this has neither helped Odinga nor Kenyatta.
The problem plaquing Kenya , tribalism , is the enemy that is conveniently left undiscussed in ordinary day to day politics.
And the tribal numbers is what counts.
Break down tribal alliances in politics, and break down the differences as in Tanzania is what matters.
So Odinga will never win in an election based on tribal numbers, and thats because he represents the minority.
Odinga should recognize the enemy first and methodically know of ways to address the problem.