Something Big Coming on Houthis in Yemen This Week

Something Big Coming on Houthis in Yemen This Week

Us ndio anashambulia Yemen pamoja na UAE, Saud Arabia na wanajeshi wanao jidai wa serekali ya Yemen iliopo Aden, South Yemen. Afu wajidai Israel ndio kapiga 😄 🤣 😂
Kuna watu wasipowataje Israel hawalali. Yaani israel ndio kula yao.
 
Dini ya Mudi iliwaharibu sana Hawa Waarabu unajua ukiwa chukua Wayemeni n Wairaq kwa kiasi kikubwa sana ni ndugu na Wayahudi ila Mirungi imewaharibu sana Wayemeni
Na wakiendelea kuvaa vibali kichwani,watakwisha
 
Us ndio anashambulia Yemen pamoja na UAE, Saud Arabia na wanajeshi wanao jidai wa serekali ya Yemen iliopo Aden, South Yemen. Afu wajidai Israel ndio kapiga 😄 🤣 😂
Umesikia ya leo? Unafuatilia vyombo gani vya habari Mkuu?
 
Naona nimewafunga zipu wafuasi wa Israel kuwawekea dalili hata hio vita vya Gaza Israel hapigani na Hamasi bila kusaidiwa 🤣 jeshi la kenge ni kenge tu hata wawe na Nuclear, wataitumia wapi hio Nuclear, walimba ohh tutapiga Gaza Nuclear, machizi kweli hao wanadhani wangepiga Nuclear Gaza watasalimika na wao 🤣
swali umeulizwa jibu kwanza hamas na hezbola wanasaidiwa au hawasaidiwi?
 
Us ndio anashambulia Yemen pamoja na UAE, Saud Arabia na wanajeshi wanao jidai wa serekali ya Yemen iliopo Aden, South Yemen. Afu wajidai Israel ndio kapiga 😄 🤣 😂
Basi kama ndio hivyo, mwisho wa Houth umefika
 
Umesikia ya leo? Unafuatilia vyombo gani vya habari Mkuu?
Hahaha yani Israel kashanbulia nini zaidi ya aliyo shambulia UK, US na Saud Arabia. We unajua kilicho tokea leo Tela Aviv au bado umelala.
 
Basi kama ndio hivyo, mwisho wa Houth umefika
Al Houth ikiwa Saud Arabia alishindwa aweze US na Israel. Unajua kwanini nasema hivi. Saud Arabia hakuna silaha hakutumia, na zote ni za US na alikuwa ni US anamtumia Saud Arabia na walishindwa waje wao washinde.
 
Al Houth ikiwa Saud Arabia alishindwa aweze US na Israel. Unajua kwanini nasema hivi. Saud Arabia hakuna silaha hakutumia, na zote ni za US na alikuwa ni US anamtumia Saud Arabia na walishindwa waje wao washinde.
Wanawapa shida tu wananchi. Badala ya kujenga uchumi wao wanakalia vita tu nchi yenyewe masikini.
 
swali umeulizwa jibu kwanza hamas na hezbola wanasaidiwa au hawasaidiwi?
Swali la Hamas alisha jibu General wa Israel, alisema hakuna sehemu au tunnels hawakuingia za Gaza hawakuona dalili Hamasi anasaidiwa. Alicho gundua Hamasi wanatengeneza silaha wenyewe tena kwa materials wala huwezi kutegemea.

Kuhusu Hezbullah hao wanasaidiwa na Iran lakini si mpaka askari 😄 🤣
 
Ewe kobazi mwenzetu pale gaza hapajapigwa nyuklia pako vile ,pakipigwa shura ya Maimam lazima igare gare
Kenge nani aliye kuambia Gaza imepigwa nuclear hebu leta dalili nilisema imepigwa nuclear? Kila siku nasema hapa wafuasi wamkosa nyumba akili zao ziko njia panda kama alipo lala mkosa nyumba.
 
Wanawapa shida tu wananchi. Badala ya kujenga uchumi wao wanakalia vita tu nchi yenyewe masikini.
Israel hawapi shida wananchi wake tokea kundwa taifa fake la kikristo jeshi lake lipo vitani tu 😄 🤣 hizo silaha wanazo zitumia zingetumiwa kuwajenga waisrael wangekuwa mbali sana. Silaha zingewaletea usalama wasinge kuwa wanakufa au kukimbizana kwenye mashimo kama panya.
 
Israel hawapi shida wananchi wake tokea kundwa taifa fake la kikristo jeshi lake lipo vitani tu 😄 🤣 hizo silaha wanazo zitumia zingetumiwa kuwajenga waisrael wangekuwa mbali sana. Silaha zingewaletea usalama wasinge kuwa wanakufa au kukimbizana kwenye mashimo kama panya.
Iraq,Syria, Lebanon, Palestine zimerudi nyuma kiuchumi kwa sababu ya vita
 
Iraq,Syria, Lebanon, Palestine zimerudi nyuma kiuchumi kwa sababu ya vita
Nani sababu si hao hao makenge waliye leta balaa duniani US, UK sa we jiulize US na UK hao Yemen lini waliwafata kwao 😄 🤣

Yemen yuko kwake ana haki ya kusema nani apite kwake na nani asipite wao nani aliwaingilia kwenye bahari zao. Hivi US angekuwa ndio anasehemu kama ya Yemen angezuia nchi qasipite nani angemuita gaidi.

Gaidi siku zote anamuita gaidi mtu kama haendi na agenda zao ni gaidi. Yule Mohamed Golan sa kawa kipenzi cha US, kwanza si alikuwa gaidi wilitoa ofa sijui 10 millions mtu anaye wapelekea kichwa chake hapo ndio mjue US, UK, Israel au European watu magaidi ni wale hawaendi na siasa zao.
 
Kenge nani aliye kuambia Gaza imepigwa nuclear hebu leta dalili nilisema imepigwa nuclear? Kila siku nasema hapa wafuasi wamkosa nyumba akili zao ziko njia panda kama alipo lala mkosa nyumba.
Alafu kumbe huwa unalewa wewe eenh? Umeona nilichoandika na ulichonijibu?
 
Back
Top Bottom