Sometime nikikumbukaga past yangu huwa natamani kuchimba shimo nijitumbukize.

unanipaga raha weweee...

Ila mbona hakuna cha kujichimbia shimo?

Ni past ambayo ukiikumbuka unasmile peke yako
 
Sijaelewa aaaa! Au na leo umepata kitu cha nyagi na tusker?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kudadadeki kumbe we ni wa gimbi umetisha sana ila shimo unalosema ni kwa maana ipi yaan ujifukie kisa gimbi na mistarehe yako pole wenzio wanasema ya kale dhahabu dada ha!
 
Mi sijaona bado cha kukufanya useme ukikumbuka ya nyuma unatamani ujichimbie shimo!au kwa maulevi yako ulikuwa unaanguka hovyo na watoto wa kihuni wanajihudumia?kama unataka kuwa mwepesi sema ukweli ibilisi akimbie
 

Mbona ile yetu wewe hapana taja? Taja zote tu
 
Mi sijaona bado cha kukufanya useme ukikumbuka ya nyuma unatamani ujichimbie shimo!au kwa maulevi yako ulikuwa unaanguka hovyo na watoto wa kihuni wanajihudumia?kama unataka kuwa mwepesi sema ukweli ibilisi akimbie

Mjasiriamali mambo vipi?
 
Iwapo umeamua kuchimba shimo na kujitumbukiza basi utakua umeamua kufanya jambo moja la busara sana. Kama unashida ya vifaa niko tyari kukuazima. Nifikishie salam kwa utakao waona huko wendako.

hahahaha. Oh God.
 
Sijaelewa aaaa! Au na leo umepata kitu cha nyagi na tusker?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

We neggirl. Usitake kuelewa sana sana furahia kisha tulia lol
 
Last edited by a moderator:
Siku moja nilidondoka flaaaaaaatttt nimeshapiga cocktail ya Savannah na Vodka nikiwa nimevaa stilettos. Kudaadeki hata nikisema nlikuwa sijalewa nani ataamini. Sikurudia tena kuvaa heels nikiwa najua naenda kukata maji kama fish.
Duuh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…