Sometime nikikumbukaga past yangu huwa natamani kuchimba shimo nijitumbukize.

Sometime nikikumbukaga past yangu huwa natamani kuchimba shimo nijitumbukize.

Karucee

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2012
Posts
18,155
Reaction score
34,303
.... Enzi hizo bwana wakati nasoma nilikutana na watu aina nyingi. Mpaka nikawa nashangaa were the weird type made especially for me?
1. Kuna siku moja bwana nimejikalia mwenyewe all alone pub ya chuo nakata bia. Enzi hizo Tusker haijanunuliwa na Serengeti na kuharibiwa ladha. Basi mda ukasogea pub ikachangamka. Kuna mijitu flani sijui ilikuwa imetokea pori flani ikawa imekaa tu. Nasema pori kwasababu mpaka leo sijaelewa how uncouth and barbaric one person can be. Basi likaja likakaa kwenye meza yangu. Likaangalia nakunywa nini likaniagizia bila kuniuliza. Tusker na Nyagi nachanganya. Neno la kwanza kumtoka ni 'dada naomba haja ndogo yako' nikamuuliza eeeh?? Akasema wewe una matatizo ya kusikia? Nimesema unipe haja ndogo yako. Nikamwambia haina noma kaka. Basi nikakata majiiii nilipofikia kuondoka zangu nikachukua ile chupa empty ya Konyagi nikaenda toilet nikamuwekea fresh from the source nikamwagia.
2. Kuna baba flani muhehe alitakaga kuniletea kesi. Alikuwa na umri wa miaka 50. Nlipomwambia nina mchumba wangu alienda moja kwa moja juu ya mti mrefu pale chuoni na kujitupa chini.
3. Eti bwana excitement ya mtu kukuona iliniponza. Kuna kaka flani, mbaba hasa alinibeba mbele ya mkuu wa chuo. Nlikuwa nimevaa kigauni kifupi so pata picha mkuu wa chuo aliona nini? Damn!
Mengine hata sitamanigi kukumbuka aisee. Sijui walienda wapi hawa watu, maskini mie mtoto wa watu.
 
Siku moja nilidondoka flaaaaaaatttt nimeshapiga cocktail ya Savannah na Vodka nikiwa nimevaa stilettos. Kudaadeki hata nikisema nlikuwa sijalewa nani ataamini. Sikurudia tena kuvaa heels nikiwa najua naenda kukata maji kama fish.
 
ulivyodondoka hamna aliyekudondokea au ulidondokea hadharani
maana
 
Embu tufichie pembeni utaelezea chemba, naona mkuu The Boss anataka kuharibu sherehe na kuna watoto hapa.

Umenifurahisha kwenye Tusker tu kumbe ulikua member? Hahaaaa salamu zako
 
Last edited by a moderator:
ulivyodondoka hamna aliyekudondokea au ulidondokea hadharani
maana

hahahahaha. Nilianguka parking lot bwana. Halafu watu wakaja kukusanyika kunipa pole. Waongo tu walikuwa wananichungulia nilidondoka mkao usiokuwa mzuri bwanaa
 
Embu tufichie pembeni utaelezea chemba, naona mkuu The Boss anataka kuharibu sherehe na kuna watoto hapa.

Umenifurahisha kwenye Tusker tu kumbe ulikua member? Hahaaaa salamu zako

tusker? Miaka mingi aiseee.. Nlikuwa naiita Forever Faithful.
Huyu The Boss ni mtundu anataka ya wakubwa hapa.
 
Last edited by a moderator:
Mie hupenda sana diary stories zako...number one fun 4 shizzle!
 
Diary.of.2009.S04.E01.HDTV :A S new:Episode:A S new:!!
 
Iwapo umeamua kuchimba shimo na kujitumbukiza basi utakua umeamua kufanya jambo moja la busara sana. Kama unashida ya vifaa niko tyari kukuazima. Nifikishie salam kwa utakao waona huko wendako.
 
Back
Top Bottom