Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hakuna somo gumu kwangu!
but Leo nimeibiwa na MTU anayetumia jina la ummy mwalimu Facebook
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata mm nusura niibiwe kwa niaba ya mtu wangu wa karibu, nilitaka nimfanyie application lakini nikafanya uchunguzi nikaja kugundua siohakuna somo gumu kwangu!
but Leo nimeibiwa na MTU anayetumia jina la ummy mwalimu Facebook
Huyu jamaa kapiga hela ndefu sanaa![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata mm nusura niibiwe kwa niaba ya mtu wangu wa karibu, nilitaka nimfanyie application lakini nikafanya uchunguzi nikaja kugundua sio
Daaah! Sio masihara, na hv vijana walivyo na shida ya ajira hawezi kukosa watu 200 hapo, so 200x10,000=2,000,000 daaah! Kesho anabuni kitu kingine tena, kazi kwelikweli. Mi nashukuru pona yng nilitaka nimpe dogo aombe mwnyw, nikawaza hapana ngoja nimfanyie mwenyewe asijepigwa. Nikaenda twitter na instagram nikaona kapost habari zingine tu tena current ila hii haipo, nikapata harufu ya upigaji, nikaacha. Ila pole mkuu, siku nyingine chunguza kwanza.Huyu jamaa kapiga hela ndefu sanaa!
Fizikia na Baiolojia yaani maji tu, nakumbuka pale Mazengo camp dogo mmoja Komba wa PGM alikuwa anashangaa Mimi wa PCB nilivyokuwa naikaba physics kuwazidi wao