Somo juu ya BIBLIA na QURAAN kwa Ujio wa haya Marobort ya Kutisha

Somo juu ya BIBLIA na QURAAN kwa Ujio wa haya Marobort ya Kutisha

General Nguli

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2022
Posts
1,190
Reaction score
2,508
Moderetors + Members habari,Poleni na majukumu,

Nawaza katika vitabu vyetu vikuu vya Imani yaani BIblia na Quraan hasa katika utabiri wao wa siku za mwisho hapa Dunian.i Je vilijaribu kuonesha mwanga hata katika Lugha ya Picha Kuhusu ujio wa Tech ya AI.Je mitume na waandishi wa vitabu waliweza kumtaja binadam na hii Science ilipo kwa sasa kwa utabiri.Kwa kumdhoofisha na zana yao kuwa hakuna Mungu.

Science Sasa imekuwa kwa kiasi Kubwa sana Hasa kwa utengenezaji wa Maroboti na malengo yao.​

Ukienda katika jukwaa la Science na Tech nimejaribu kugusia kwa kiwango kidogo malengo yao.

Link:Akili bandia kuwa kuongeza umri wa kuishi na kuzuia kuzeeka nyuso.

Ningeomba kujuzwa kwa namna ya kuelimishwa hata jamii kupitia Biblia na Quraan hasa katika kuwapinga wana SCIENCE na imani yao kuwa hakuna Mungu.

Kwa ujio wa haya Marobort.
Asanteni.​
 
Asante kwa Bandiko Mkuu.

WANAKUJA KUKUPA MIONGOZO, TULIA HAPOHAPO (USIONDOKE).

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Katika Kitabu cha
Daniel 12:4


Lakini wewe, Ee Danieli, yafunge maneno haya, ukakitie muhuri kitabu, hata wakati wa mwisho; wengi wataenda mbio huko na huko, na maarifa yataongezeka.

Ufafanuzi binafsi ni kama hivi:-

Yafunge = usisahau maneno hayo.
Ukakitie muhuri kitabu = Uthibitishe/ukubali.
Hata wakati wa Mwisho = nyakati zote zijazo mpaka mwisho.
Wengi wataenda huko na huko = adventurous attempts/wengi watafanya uthubutu wa kijasiri.
Na maarifa yataongezeka = Uvumbuzi mwingi wa kukubalika na wengi.


Kutoka Ilikoandikwa!
 
Katika Kitabu cha
Daniel 12:4


Lakini wewe, Ee Danieli, yafunge maneno haya, ukakitie muhuri kitabu, hata wakati wa mwisho; wengi wataenda mbio huko na huko, na maarifa yataongezeka.

Ufafanuzi binafsi ni kama hivi:-

Yafunge = usisahau maneno hayo.
Ukakitie muhuri kitabu = Uthibitishe/ukubali.
Hata wakati wa Mwisho = nyakati zote zijazo mpaka mwisho.
Wengi wataenda huko na huko = adventurous attempts/wengi watafanya uthubutu wa kijasiri.
Na maarifa yataongezeka = Uvumbuzi mwingi wa kukubalika na wengi.


Kutoka Ilikoandikwa!
Asante sana kaka...Lakini hili Andiko hili liko moja tu katika Biblia sidhani kama limeshiba kulingana na hii Tech ya leo.Labda kama kuna andiko lingine tujuzwe
 
Mama Jusi walikuwa na satellites zao kitambo sana na hawakujua lolote kuhusu Tech.😂
 
Back
Top Bottom