Mtaalam
JF-Expert Member
- Oct 1, 2007
- 1,371
- 251
nimeifuatilia hii thread
n when i was in bongo dis summer kusema kweli nilihuzunishwa na kitu kimoja kikubwa
nilihudhuria maonyesho ya kimataifa ya biashara maarufu kama saba saba n i was shocked kuona maonyesho makubwa kama yale ambayo maelfu ya watu huingia eti at dis tym ya maisha yetu ya ugaidi bado mlangoni wat is given more priority ni kulipa shilingi elfu mbili na kuingia ndani without even kusachiwa kidogo
i once asked my self hw serious r we? je ikitokea hawa watu wasio na utu hata kidogo wakaingia na zana zao za kazi ka walivyofanya mumbai?tutapata maafa kiasi gani?
kama alivyosema mmoja wetu sie kusema kweli tushukuru Mungu tu kuwa anatujalia rehema mpaka leo hii inspite of once kuwa attacked na hawa magaidi but we never got any lessons from it
nikawa najiuliza how many majengo na hoteli ziko bongo ambazo zinapokea watu wengi kwa mkupuo ila hakuna hata kucheki waingiao wana any silahaz?how aserious r we?
nw we hav li uwanja la mpiwa la watu kama elfu 50 je huwa wanachekiwa before kuingia ndani?
au ndo twasubiri maafa yatokee ndio tuanze de blame games?
n when i was in bongo dis summer kusema kweli nilihuzunishwa na kitu kimoja kikubwa
nilihudhuria maonyesho ya kimataifa ya biashara maarufu kama saba saba n i was shocked kuona maonyesho makubwa kama yale ambayo maelfu ya watu huingia eti at dis tym ya maisha yetu ya ugaidi bado mlangoni wat is given more priority ni kulipa shilingi elfu mbili na kuingia ndani without even kusachiwa kidogo
i once asked my self hw serious r we? je ikitokea hawa watu wasio na utu hata kidogo wakaingia na zana zao za kazi ka walivyofanya mumbai?tutapata maafa kiasi gani?
kama alivyosema mmoja wetu sie kusema kweli tushukuru Mungu tu kuwa anatujalia rehema mpaka leo hii inspite of once kuwa attacked na hawa magaidi but we never got any lessons from it
nikawa najiuliza how many majengo na hoteli ziko bongo ambazo zinapokea watu wengi kwa mkupuo ila hakuna hata kucheki waingiao wana any silahaz?how aserious r we?
nw we hav li uwanja la mpiwa la watu kama elfu 50 je huwa wanachekiwa before kuingia ndani?
au ndo twasubiri maafa yatokee ndio tuanze de blame games?